Wanawake mna kiranga gani?

Wanawake mna kiranga gani?

59f9095a2705cab49bdab24168d564a1.jpg
after
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Yaani kawa kama kikongwe hafanani hata kidogo na binti wa hiyo 19
Ila bana naona zitakuwa zimeeditiwa hizo picha aiseee.

Ila kama ni kweli hana hamu huko aliko sababu sidhani hata kama ana raha ya kujiangalia mara mbili kwenye kioo.
 
Ila bana naona zitakuwa zimeeditiwa hizo picha aiseee.

Ila kama ni kweli hana hamu huko aliko sababu sidhani hata kama ana raha ya kujiangalia mara mbili kwenye kioo.
emmy upo?
 
Ila bana naona zitakuwa zimeeditiwa hizo picha aiseee.

Ila kama ni kweli hana hamu huko aliko sababu sidhani hata kama ana raha ya kujiangalia mara mbili kwenye kioo.
Kama ni kweli anajuta maana alikuwa mzuri kajiharibu.
 
Tena mzuri haswaaa. Rafiki vipo vya kutamani tuwe navyo ila kwa hivi vya kujibadilisha mwili vitupite tu aiseee.
Umeona eeh! Turidhike kwa jinsi tumeumbwa na Mungu. Tusikufuru kwa kumkosoa katika uumbaji wake. AMETUUMBA KWA MAKUSUDI!
 
Ni poa aiseeh....
Naangalia picha za huyu mdogo wako wa kiiraq
Nafurahi kukuona kaka masai sababu ni kitambo sana aiseee.

Huyo mdogo wangu ana shida sehemu aiseee pia najisikia niwalaumu wazazi kama anao kwa kushindwa kumpa japo kaushauri kabla ya kufanya. Au hata baada ya kufanya upasuaji wake wa kwanza nina imani asingefikia huko alipo sasa.
 
Nafurahi kukuona kaka masai sababu ni kitambo sana aiseee.

Huyo mdogo wangu ana shida sehemu aiseee pia najisikia niwalaumu wazazi kama anao kwa kushindwa kumpa japo kaushauri kabla ya kufanya. Au hata baada ya kufanya upasuaji wake wa kwanza nina imani asingefikia huko alipo sasa.

Siku hizi naingia kuchunga mwenyewe leo nimepumzishwa...naingia viwanja nijichanganye na kina Asprin

Huyo Dr naye kipofu.
 
Back
Top Bottom