Wanawake mna matatizo gani.? Juzi amesuka nywele, leo anataka kuzifumua

Wanawake mna matatizo gani.? Juzi amesuka nywele, leo anataka kuzifumua

Ukiombwa hela ya kusukia usiwe mwepesi kuituma au kuitoa fasta. Mzungushe kidogo au sana anuneee ndo umpe,nywele zitadumu kwa wiki moja au mbili hivi.

Ukiwa fasta kuitoa hatakua na uchungu nayo maana si atafumua na ATM upo utazitoa nyingine
mmmh jaman sa kwnn nimzungushe akat n mpenz wangu.? enway lkn kw vyvyte vile bado angefanya alchofanya
 
Usiwe mwepesi kukasirika na kujutia hela uliyotoa.
Hapo kuna ujumbe unapewa indirect.... Kuwa mwanaume hakikisha unajua nini sababu.

Kwa haraka haraka yaweza kuwa kuna kitu umemuudhi sasa hasira yake anaona Hata nywele ulizolipia ni kero. Kumbuka wanawake ni wabahili sana kufumua nywele hadi huwa zinavundia kichwani ( nawasomaga mnavolalamikia mawigi ya wake zenu).

Kama hujamuudhi wewe basi kuna shosti au ndugu yake kamwambia hizo nywele ni mbaya zimekufanya umekuwa kama chakubimbi..... Basi huko alikoenda kusuka hatorudi tena na atazifumua tuu hata kama aliyemwambia alitania.
Kuna dada mmoja alifika kazini jumatatu kasuka wivingi la bambucha, ukiongeza na mekapu alizokoleza usoni, kila mfanyakazi mwenzie alimwambia lake. Kijanammoja akamwambia yaani Salome, hizo nywele kama fagio la chelewa.... Wafanyakazi wengine wakacheka kwanguvu kama utani siku ikaisha.

Kesho yake Salome alifika kazini nywele zimefumuliwa.

Mwisho yawezakuwa msusi alimvuta sana hadi mishipa ya kichwa ikasinama... (Hapa ndo naelewa wanaume wakilalamika kuwa ikisimama muda mrefu wanaumia hehehee).

Mwisho kabisa kama uliona amependeza ila hukumsifia kwa kumwambia basi amejua hujazipenda.

Ubongo wa wanawake unafanya kazi tofauti na kwa namna yake, yahitaji Kuwa mdadisi sana kabla hujafanya maamuzi.

Na akiwa ni mdada anayejali pesa yako, atakaa hata miezi miwili bila kuomba hela ya kusuka, kufidia kuwa angekaa na hizo nywele muda huo kisha aombe hela nyingine ya kusukia.
Hope ameelewa..Btw aliyekwambia ikisimama inauma nani??
 
Itakuwa unazo hela za kugawaa babaa...!! 50 ndani ya week kafumuaa..??? Endelea kuhonga tu alafu unakuja huku unaliaa... Wanawake bhana unavyomua approach siku za kwanza ndivyo atakavyoishi na wewe. Ukienda kwa gia ya helaa utachunwa mpaka ushangaee.. Ukienda kama unataka mtunzane mpaka ndoa atakutunzia wewe huku wenzako wanamlaa kama malayaa vilee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom