mmmh jaman sa kwnn nimzungushe akat n mpenz wangu.? enway lkn kw vyvyte vile bado angefanya alchofanyaUkiombwa hela ya kusukia usiwe mwepesi kuituma au kuitoa fasta. Mzungushe kidogo au sana anuneee ndo umpe,nywele zitadumu kwa wiki moja au mbili hivi.
Ukiwa fasta kuitoa hatakua na uchungu nayo maana si atafumua na ATM upo utazitoa nyingine
Uwe una nyoosha maelezo kwenye thread unayopostunaongea tuu lkn hujui chcht khs yeye, kwhy unataka nianze kusema kuanzia tulvyoanza uhusiano mpaka now.?
Hope ameelewa..Btw aliyekwambia ikisimama inauma nani??Usiwe mwepesi kukasirika na kujutia hela uliyotoa.
Hapo kuna ujumbe unapewa indirect.... Kuwa mwanaume hakikisha unajua nini sababu.
Kwa haraka haraka yaweza kuwa kuna kitu umemuudhi sasa hasira yake anaona Hata nywele ulizolipia ni kero. Kumbuka wanawake ni wabahili sana kufumua nywele hadi huwa zinavundia kichwani ( nawasomaga mnavolalamikia mawigi ya wake zenu).
Kama hujamuudhi wewe basi kuna shosti au ndugu yake kamwambia hizo nywele ni mbaya zimekufanya umekuwa kama chakubimbi..... Basi huko alikoenda kusuka hatorudi tena na atazifumua tuu hata kama aliyemwambia alitania.
Kuna dada mmoja alifika kazini jumatatu kasuka wivingi la bambucha, ukiongeza na mekapu alizokoleza usoni, kila mfanyakazi mwenzie alimwambia lake. Kijanammoja akamwambia yaani Salome, hizo nywele kama fagio la chelewa.... Wafanyakazi wengine wakacheka kwanguvu kama utani siku ikaisha.
Kesho yake Salome alifika kazini nywele zimefumuliwa.
Mwisho yawezakuwa msusi alimvuta sana hadi mishipa ya kichwa ikasinama... (Hapa ndo naelewa wanaume wakilalamika kuwa ikisimama muda mrefu wanaumia hehehee).
Mwisho kabisa kama uliona amependeza ila hukumsifia kwa kumwambia basi amejua hujazipenda.
Ubongo wa wanawake unafanya kazi tofauti na kwa namna yake, yahitaji Kuwa mdadisi sana kabla hujafanya maamuzi.
Na akiwa ni mdada anayejali pesa yako, atakaa hata miezi miwili bila kuomba hela ya kusuka, kufidia kuwa angekaa na hizo nywele muda huo kisha aombe hela nyingine ya kusukia.
Itakuwa bwana ake anaempenda kamwambia baby mbona zimefumuka ebu suka mpyaa lakini me hela sinaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bwege anatumiwa msg hapaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hizo nywele zilikazwa sana zimemuuma mno Au
ameambiwa hazijampendeza
Si ndio huwa mnatudanganya hivyo ili tuwape hehehe, nimekumiss babyHope ameelewa..Btw aliyekwambia ikisimama inauma nani??
pole mkuu wenye wake wanajua hali ya ndoa hasa katika matumizi ya mtoto wa kikeimeniuma sana, yn 50 imetumika kwa nothing
Kuna wakati nilikuwa field nilikaa na pony tail wiki sita, nikiamka asubuhi ninakoleza gel. Wanaume niliokuwa nao field waliniuliza unaosha saa ngapi?Kwani huwa zinakaa siku ngap kichwani
Teh teh..Bora unenipa tekniki...Si ndio huwa mnatudanganya hivyo ili tuwape hehehe, nimekumiss baby
Teh teh..Bora unenipa tekniki...
Mi nafwa kwa kukumiss..Nanilii hadi imeota kutu..
mmmh jaman sa kwnn nimzungushe akat n mpenz wangu.? enway lkn kw vyvyte vile bado angefanya alchofanya
Mpatie nyingine akasuke Sasa unalia lia nnhuwez amini yn sijawah kuw bahili kwake, ila h ya leo inaniuma knoma
Kuna wakati nilikuwa field nilikaa na pony tail wiki sita, nikiamka asubuhi ninakoleza gel. Wanaume niliokuwa nao field walinikiza unaosha saa ngapi?
Naja..Sikukuu hadi inaisha sijaombwa pesa..NashangaaNimekupa ila huwezi kuitumia kwangu. Njoo basi tumalizie sikukuu