Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
- Thread starter
-
- #21
I willAm happy that I made your day.
Smile always and enjoy your life.
Kasie.
only me mkuu..nikopeshe pesa uone kama sijakurudishia kwa wakt😊Mmh.maybe
Ila for more than a half of my life time i have lived up with a perception that you are all the same
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha pole mkuu bila shaka ulichofanyiwa wewe kila mwanaume ameshafanyiwa, wanasema tuishi nao kwa akili ila yataka moyo sana.[emoji23] yani simuamini mwanamke kabisa
Mliyonifanyia mwaka huu mungu tu ndio anajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili ni nywele kila mtu anazo zake..Ishini nasi kwa akili[emoji6]
Hahqqhonly me mkuu..nikopeshe pesa uone kama sijakurudishia kwa wakt[emoji4]
Asante mkuuHahaha pole mkuu bila shaka ulichofanyiwa wewe kila mwanaume ameshafanyiwa, wanasema tuishi nao kwa akili ila yataka moyo sana.
usicheke basi😢😢
Kabisa yani wanakuja mpaka unashikww na hurumaBob hapo potezea fanya kama umedondosha tu hawa viumbe yani wako very complicated
Wapole wanavyokopa na wanaushawishi sana kiasi kwamba kumkunjia kazi na ndio maana benki inawatumia sana wanawake kuhamasisha watu wakope
Sent using unknown device
Binti tu wa hapa kitaa, asante ila wanawake ni ovyo sana, Jan. Kuna dada nilimuazima charger ya smart phone. Kilichotokea kila nikitaka kucharge sm nampelekea dukani kwake anichajie kunipa charger hataki almost week tatu zikapita nikamuekea ngumu simuombi Charger wala sipeleki sm dukani kwake wal siongei nae, ndio akanipa lakini from there then mawasiliano yetu sio mazuri till now,Alikuwa ab
pole sn bosi! mtuvumulie tu
Waonekana una uso wa huruma, na wa kuvutia kiasi chake.
Kwa asilimia kubwa hapo wadada wamekupenda aka wamekudondokea aka wanataka uwabanjue yaani mbanjuke. Sasa wewe huwaoni wala huanzishi uchokozi ili muishie huko. Na sababu hawataki kukukosa dawa ni kukuazima vitu ambavyo huwezi kuviachilia like kuacha kuwadai, hivo unavowadai wao wanafurahia na hawakirudishii ng’oo ili uendelee kuwatumia msg na kuwapigia.
Ukiwabanjua tuu vitu vyako vinarudi.
Hiyo sio kwa wanawake wote ni baadhi haswa wasioweza kumwambia mwanaume, please fcuk me like the way Kasie tell men who she wants them to fcuk her.
Wote walioko humu ambao nimeshawaambia kuwa njoo au twende tukanjunjane watakuwa ni mashahidi.
Kasie Mahaba.
Wanawake ni ovyo sana mkuu, kwani yule kipofu bado anaendelea kuwafundisha mana akili zao zinafanana kweli au ndo standard yao
Haya mambo huwa yana mengi sana.Ni kwanini mnapenda kuomba vitu vya watu tukiwaazimisha hamtaki kurudisha mñaanza mañeno ya kuudhi
1.nilimuazima charger ya pc akakaa nayo kama miezi miwili siku moja nikawa na safari nikamtext two days before kuà nitaihitaji hiyo charger safarini so aniletee akasema anaitumia ataleta kesho yake mchana hakuleta ilipofika usiku nikamkumbusha akasema ataleta by saa sita usiku ili kesho yake niende nayo hakuleta pia.alfajiri nikampigia hakupokea simu na siku nzima hakujibu so nilisafiri bila charger.nulipofik nilipokua naenda nikamtext why hakuleta akajibu alileta sikuepo.seriously unajua naondok saa 12 afu unalet saa moja ? Japo sikuamini kama alilet
2.nilikutana nae she is a friend .akaniomba sana nimuazime pesa atanipa after one week nikampa sababu alinibembeleza sana .juzi nimemtext baad ya week 3 kupita nikamwambia naimba unitumie ile pesa nina shida sana.akajibu hela yako nitakupa bana nikajibu sawa.zimepita siku mbili sikumkumbusha leo amenutext kua hajapata mpesa yuko mbali na mpesa.nikajibu poa utaituma kwenye namba yangu ya voda.amenijibu kua"ndio maana sipendi kukopa coz sipendi ma kero ya kudaiwa" nimejiskia vibaya sana ametuma ma text mengi ya kipuuzi
Hivi kwanini mnapenda kuazima vitu wakati hamuwezi kurudisha ? Mnakujaga mnanyenyekea mkipewa mnajiona
Sent using Jamii Forums mobile app
In short human being sio kiumbe salama katika Karne hii, kuna mtu nilimkopesha bidhaa mwaka jana hakunilipa, nilichoamua mwaka huu Feb. nikamfata na kumwambia bidhaa baki nayo na ela sikudai huwe na Amani.Mtu anangangania mali isio yake, Sijui wakoje..kuna hata wanaume ukimkopesha hela harudishi Njopino
Achunge sana kwenye hiyo ..."yes sir"...hapo ndipo mtego ulipolalia.Ukiweka shingo mkuu Lucas Mobutu,you're in for it!I'm joking!yes sir,I am
pls usitake kunigombanisha na bwana lucas mkuu😒😒😒😒Achunge sana kwenye hiyo ..."yes sir"...hapo ndipo mtego ulipolalia.Ukiweka shingo mkuu Lucas Mobutu,you're in for it!I'm joking!
And,I'm still joking!pls usitake kunigombanisha na bwana lucas mkuu😒😒😒😒
Hawa watu bana.hii tabia imekua fashionBinti tu wa hapa kitaa, asante ila wanawake ni ovyo sana, Jan. Kuna dada nilimuazima charger ya smart phone. Kilichotokea kila nikitaka kucharge sm nampelekea dukani kwake anichajie kunipa charger hataki almost week tatu zikapita nikamuekea ngumu simuombi Charger wala sipeleki sm dukani kwake wal siongei nae, ndio akanipa lakini from there then mawasiliano yetu sio mazuri till now,
Walikua wanakupigia hadi usiku nini mkuuHaya mambo huwa yana mengi sana.
Niliwahi kuwa nawaazimisha pesa na vitu wanawake ikawa taabu sana, hadi girl friend wangu akawa ananifikiria tofauti kabisa kutokana na simu zao.
Uwe na kiasi bro
Sent using Jamii Forums mobile app