Wanawake mna tatizo gani ?

Wanawake mna tatizo gani ?

Bob hapo potezea fanya kama umedondosha tu hawa viumbe yani wako very complicated

Wapole wanavyokopa na wanaushawishi sana kiasi kwamba kumkunjia kazi na ndio maana benki inawatumia sana wanawake kuhamasisha watu wakope

Sent using unknown device
 
Kuna Mdada hapa home(nimepanha) huwa anakusanya pesa ya umeme..sasa kila nikimpatia pesa kubwa 5K au 10K anechelewesha kurudisha chenji.. na nikiomba hiyo chenji Mdada anavimba kwa hasira..Huwa simuelewi kabisa.

#Muungwana_John
 
Alikuwa ab

pole sn bosi! mtuvumulie tu
Binti tu wa hapa kitaa, asante ila wanawake ni ovyo sana, Jan. Kuna dada nilimuazima charger ya smart phone. Kilichotokea kila nikitaka kucharge sm nampelekea dukani kwake anichajie kunipa charger hataki almost week tatu zikapita nikamuekea ngumu simuombi Charger wala sipeleki sm dukani kwake wal siongei nae, ndio akanipa lakini from there then mawasiliano yetu sio mazuri till now,
 
Waonekana una uso wa huruma, na wa kuvutia kiasi chake.

Kwa asilimia kubwa hapo wadada wamekupenda aka wamekudondokea aka wanataka uwabanjue yaani mbanjuke. Sasa wewe huwaoni wala huanzishi uchokozi ili muishie huko. Na sababu hawataki kukukosa dawa ni kukuazima vitu ambavyo huwezi kuviachilia like kuacha kuwadai, hivo unavowadai wao wanafurahia na hawakirudishii ng’oo ili uendelee kuwatumia msg na kuwapigia.

Ukiwabanjua tuu vitu vyako vinarudi.

Hiyo sio kwa wanawake wote ni baadhi haswa wasioweza kumwambia mwanaume, please fcuk me like the way Kasie tell men who she wants them to fcuk her.

Wote walioko humu ambao nimeshawaambia kuwa njoo au twende tukanjunjane watakuwa ni mashahidi.

Kasie Mahaba.

Asee
 
Ni kwanini mnapenda kuomba vitu vya watu tukiwaazimisha hamtaki kurudisha mñaanza mañeno ya kuudhi
1.nilimuazima charger ya pc akakaa nayo kama miezi miwili siku moja nikawa na safari nikamtext two days before kuà nitaihitaji hiyo charger safarini so aniletee akasema anaitumia ataleta kesho yake mchana hakuleta ilipofika usiku nikamkumbusha akasema ataleta by saa sita usiku ili kesho yake niende nayo hakuleta pia.alfajiri nikampigia hakupokea simu na siku nzima hakujibu so nilisafiri bila charger.nulipofik nilipokua naenda nikamtext why hakuleta akajibu alileta sikuepo.seriously unajua naondok saa 12 afu unalet saa moja ? Japo sikuamini kama alilet

2.nilikutana nae she is a friend .akaniomba sana nimuazime pesa atanipa after one week nikampa sababu alinibembeleza sana .juzi nimemtext baad ya week 3 kupita nikamwambia naimba unitumie ile pesa nina shida sana.akajibu hela yako nitakupa bana nikajibu sawa.zimepita siku mbili sikumkumbusha leo amenutext kua hajapata mpesa yuko mbali na mpesa.nikajibu poa utaituma kwenye namba yangu ya voda.amenijibu kua"ndio maana sipendi kukopa coz sipendi ma kero ya kudaiwa" nimejiskia vibaya sana ametuma ma text mengi ya kipuuzi

Hivi kwanini mnapenda kuazima vitu wakati hamuwezi kurudisha ? Mnakujaga mnanyenyekea mkipewa mnajiona

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo huwa yana mengi sana.

Niliwahi kuwa nawaazimisha pesa na vitu wanawake ikawa taabu sana, hadi girl friend wangu akawa ananifikiria tofauti kabisa kutokana na simu zao.

Uwe na kiasi bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anangangania mali isio yake, Sijui wakoje..kuna hata wanaume ukimkopesha hela harudishi Njopino
In short human being sio kiumbe salama katika Karne hii, kuna mtu nilimkopesha bidhaa mwaka jana hakunilipa, nilichoamua mwaka huu Feb. nikamfata na kumwambia bidhaa baki nayo na ela sikudai huwe na Amani.
 
Binti tu wa hapa kitaa, asante ila wanawake ni ovyo sana, Jan. Kuna dada nilimuazima charger ya smart phone. Kilichotokea kila nikitaka kucharge sm nampelekea dukani kwake anichajie kunipa charger hataki almost week tatu zikapita nikamuekea ngumu simuombi Charger wala sipeleki sm dukani kwake wal siongei nae, ndio akanipa lakini from there then mawasiliano yetu sio mazuri till now,
Hawa watu bana.hii tabia imekua fashion

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom