Hongera sana, na kila la kheriMie kwenye sekta ya usafiri sijakuangusha, abiria wangu hawaja lalamika kuhusu mwendo na kufika salama.
Next doorMie kwenye sekta ya usafiri sijakuangusha, abiria wangu hawaja lalamika kuhusu mwendo na kufika salama.
Aaahahahahhaaaaaa loohNext door
Ila kuna wenzenu wanasema "Bora kuhudumiwa na nesi mwanaume kuliko mwanamke,kipindi cha kujifungua". Hili mosi.Nimeuliza jirani yangu hapa...[emoji2614][emoji2614]
Ameniambia wanatongozwa sana...[emoji44][emoji44]wanapotoa Good Services...mfano kwenye Hospitality Industry...
Sijui kuna ukweli...?[emoji6][emoji854]
Nimeuliza jirani yangu hapa...[emoji2614][emoji2614]
Ameniambia wanatongozwa sana...[emoji44][emoji44]wanapotoa Good Services...mfano kwenye Hospitality Industry...
Sijui kuna ukweli...?[emoji6][emoji854]