Wanawake mnajua muda mwingine mnakwaza?

Hebu acha usenge kmmmmk, mia hamsini ukajitambulishe tu!? Wewe hapo gharama yako inatakiwa iwe nauli na ukiondoka wakushukuru kwa kukurudisha utokako kwa pesa yao kwa kuwasitiria binti yao
Huyajui haya mambo,lazma hela kiasi utoe
 

.........Naandika nafuta.....naandika nafuta

.....embu nenda hapo dukani mwambie akupe COCACOLA kubwa nitapitia kulipa.
 
Nimekuelewa mno bro
 
Kuna binti ananiforce hela ya kujitambulisha tu iwe zaidi ya laki 3,mimi nilikuwa naona 150,000 inatosha.

Ananiambia kama siwez andaa laki 3 ni bora asiwajulishe kaka zake,na aondoke kwangu.

Afu wakati huo n singo maza
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
si mwingine bali mama mzazi, maana anajitoa sana kwenye masherehe kwaio lazima atataka kurudishiwa fadhila, badala wafanye tenda wema nenda zako. Mi nawaangalia nikipata mwny mawazo ka yangu asije nilaum kwakweli
Njoo tuyajenge. Hamna ajuaye kesho yaja na nini.
 
Kuna binti ananiforce hela ya kujitambulisha tu iwe zaidi ya laki 3,mimi nilikuwa naona 150,000 inatosha.

Ananiambia kama siwez andaa laki 3 ni bora asiwajulishe kaka zake,na aondoke kwangu.

Afu wakati huo n singo maza


Unataka kujitambulisha kwa 150,000 badala ya 300,000 sababu huna pesa au sababu ni singo maza?

Sa mbona unahaingaika kujitambulisha na umesham disqualify. Una sababu gani ya kuoa mtu ambaye ni singomazašŸ˜Ž

Mwache binti wa wenyewe atapata mwenye hiyo 300,000 hata zaidi na atakayempenda bila kujali kwamba ni singomaza
 
Kuna binti ananiforce hela ya kujitambulisha tu iwe zaidi ya laki 3,mimi nilikuwa naona 150,000 inatosha.

Ananiambia kama siwez andaa laki 3 ni bora asiwajulishe kaka zake,na aondoke kwangu.

Afu wakati huo n singo maza
Kwani Kuna uhaba wa mabinti hadi uumize kichwa kwa huyo single mother?
 
Mi nilijitambulisha kwa 40,000 fedha taslimu

Yaani naamaanisha elfu 40[emoji4]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mbona nyingi, huyu mwenzenu sijui kama ataweka chochote kwenye hiyo barua...! Na nimeridhika tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…