Wanawake mnakubali vipi kuitwa ombaomba, kausha damu uwo ni unyonge kataa unyonge

Wanawake mnakubali vipi kuitwa ombaomba, kausha damu uwo ni unyonge kataa unyonge

Hatujaumbwa tule kwa jasho, halafu hizo pesa wanaume mnazitafuta kwaajili ya kina nani??
Hebu acheni ugaigai chaneni wallet wanawake tupendeze 🤣🤣🤣
 
Mnatuchanganya...mnataka magolikipa au wapambanaji?

Tukipambana, ni chakula ya pipo huko vitani....tukitulia, tumejibweteka tunawatagemea....bora Masihi arud tukastarehe kwa baba yetu...
Bora umekuwa mkweli
 
Msitupigie kelele bwana, nyie tafuteni pesa maana watumiaji tupo. Hivyo pambaneni haswaaa.
 
Mwanamke umekamilika na viungo vyako vyote unashindwa vipi kupambana kujisimamia na wewe kawa na vyako na maisha bora bila ya kumtegemea mtu.

Uzuri, shepu na sifa nyingine sio kigezo cha wewe kubweteka na kuvitumia kama kitega uchumi chako, kuna wazuri na wenye shepu zaidi yako wamepambana kuondoa Unyonge na utegemezi kwa mwanaume na wa naishi afu Safi tu.

Pambania ndoto na malengo yako mbona unandoto na malengo makubwa ya kusonga mbele kimaisha tamaa ndogo ndogo zisikudhalilishe na kukushushia hadhi we mtu mkubwa.

Sawa umeolewa usitegemee mumeo akuletee kila kitu pambana mahitaji madogo madogo yasikupige chenga.

Ukiona mumeo anakukataza kujishughulisha na Mbishe yeyote piga chini uyo ana ego wanataka kuku control Ata akipuyanga umkalie kimya sababu yeye ni provider wa Kila kitu.

Kwamba bila yeye hauendi chooni how come zinduka mtoto wa kike chakalika pambana uwe na kwako we vipi.
Kwa hiyo mzee baba umekuwa kungwi? damn
 
Back
Top Bottom