Wanawake mnakubali vipi kuitwa ombaomba, kausha damu uwo ni unyonge kataa unyonge

Hatujaumbwa tule kwa jasho, halafu hizo pesa wanaume mnazitafuta kwaajili ya kina nani??
Hebu acheni ugaigai chaneni wallet wanawake tupendeze 🤣🤣🤣
 
Mnatuchanganya...mnataka magolikipa au wapambanaji?

Tukipambana, ni chakula ya pipo huko vitani....tukitulia, tumejibweteka tunawatagemea....bora Masihi arud tukastarehe kwa baba yetu...
Bora umekuwa mkweli
 
Msitupigie kelele bwana, nyie tafuteni pesa maana watumiaji tupo. Hivyo pambaneni haswaaa.
 
Kwa hiyo mzee baba umekuwa kungwi? damn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…