Wanawake mnaoshinda na mama zenu 24 hours mtazeekea kwenu

Wanawake mnaoshinda na mama zenu 24 hours mtazeekea kwenu

SISIS

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2019
Posts
10,892
Reaction score
3,112
Juzi nilileta uzi hapa swala la wanawake kutembea haraka na kuwasababiasha kutukosa mabwana wa maana.

Kama kawaida bado naendelea kutafuta mwanamke wa ndoto zangu taratibu ila napotafuta lazima niwaletee mawili matatu nayokutana nayo ili wakujifunza wajifunze

Hapa katikati nilifahamiana na binti flani mrembo anaeonekana yupo smart na ana heshima na namba yake niliipata sehem kuna Duka la vyombo kigamboni, tukaingia penzini ila penzi linaenda mwezi wa tatu nimeonana nae mara moja tu tena alikuwa anatoka kazini jioni na jumapili zote ansema yupo na mama yake nyumbani anassma mama yake ni mkali hataki atoke ,na na siku za kazi anaongozana na mama yake maana ndio mwenye lile Duka so anasadiana nae kazi.

Hapo ana miaka 28, anasema mama mkali kutoka hawezi kama vipi nije kwao nitoe barua nimuowe tuwe huru

Nikasema kheee??!! Nawezaje kuja kuleta Barua kwa binti ambae hata kukutana tu ni mara moja tena barabarani yaani mahusiano ya kwenye simu ndio nilete barua,nikamuuliza hata ingekuwa wewe ungeweza? Nikamuuliza Unaweza kwenda kununua Gari pasipo kutesi au unaweza kununua nguo pasipo kuijaribu kuwa ni size yako ukiuziwa mdosho je?

Hapo Tayari kwa miezi mitatu alishakula kama laki tisa yangu nikauliza sasa uliwezaje kuomba hela na vitu vya thamani kwa mwanaume ambae hajakuowa siungemuomba mama yako akupe nikapata na hasira

Nikamwabia kwa umri aliokuwa nao akiendelea kusema mama ananibana sijui mama ni mkali hakuna mwanaume atakuja kumuowa hadi anafikisha miaka 40 atazeekea kwa mama yake maana pale tayri 28,

Kiuhalisia siku hzi hakuna mwanaume anaweza kuowa mwanamke ambae hajala mzigo kuthibitisha yaliyomo yamo, kama amekeketwa je utajuaje, hata wanawake nao.skuizi lazima watesti urijali kwanza wa mwanaume ndio waingie kwenye Ndoa hakuna mambo ya kwenda kutestia kwenye ndoa siku hizi.
 
Nyie ndio mnaosababisha matatizo kwa vijana Majobless sasa unatoaje laki 9 na mzigo hunapewa
 
Daaaah wacha akae na mama wauze vyombo, maana mama yake naye hakuweza kuishi na mwanaume....yaani baba yake.
 
Juzi nilileta uzi hapa swala la wanawake kutembea haraka na kuwasababiasha kutukosa mabwana wa maana.

Kama kawaida bado naendelea kutafuta mwanamke wa ndoto zangu taratibu ila napotafuta lazima niwaletee mawili matatu nayokutana nayo ili wakujifunza wajifunze

Hapa katikati nilifahamiana na binti flani mrembo anaeonekana yupo smart na ana heshima na namba yake niliipata sehem kuna Duka la vyombo kigamboni, tukaingia penzini ila penzi linaenda mwezi wa tatu nimeonana nae mara moja tu tena alikuwa anatoka kazini jioni na jumapili zote ansema yupo na mama yake nyumbani anassma mama yake ni mkali hataki atoke ,na na siku za kazi anaongozana na mama yake maana ndio mwenye lile Duka so anasadiana nae kazi.

Hapo ana miaka 28, anasema mama mkali kutoka hawezi kama vipi nije kwao nitoe barua nimuowe tuwe huru

Nikasema kheee??!! Nawezaje kuja kuleta Barua kwa binti ambae hata kukutana tu ni mara moja tena barabarani yaani mahusiano ya kwenye simu ndio nilete barua,nikamuuliza hata ingekuwa wewe ungeweza? Nikamuuliza Unaweza kwenda kununua Gari pasipo kutesi au unaweza kununua nguo pasipo kuijaribu kuwa ni size yako ukiuziwa mdosho je?

Hapo Tayari kwa miezi mitatu alishakula kama laki tisa yangu nikauliza sasa uliwezaje kuomba hela na vitu vya thamani kwa mwanaume ambae hajakuowa siungemuomba mama yako akupe nikapata na hasira

Nikamwabia kwa umri aliokuwa nao akiendelea kusema mama ananibana sijui mama ni mkali hakuna mwanaume atakuja kumuowa hadi anafikisha miaka 40 atazeekea kwa mama yake maana pale tayri 28,

Kiuhalisia siku hzi hakuna mwanaume anaweza kuowa mwanamke ambae hajala mzigo kuthibitisha yaliyomo yamo, kama amekeketwa je utajuaje, hata wanawake nao.skuizi lazima watesti urijali kwanza wa mwanaume ndio waingie kwenye Ndoa hakuna mambo ya kwenda kutestia kwenye ndoa siku hizi.
Bado bikra?,au Break Pum.bu?.
 
NA IKAWE FUNZO KWA WANAWAKE WOTE WANAOGAWA K ZAO KABLA YA NDOA!!! KAMA SIO BIKRA KUBALI AU KATAAA WEWE NI MALAYA TU NA HUNA DHAMANI MBELE YA MWANAUME MWENYE UTIMAMU WA AKILI ANAETAKA KUOA
 
NA IKAWE FUNZO KWA WANAWAKE WOTE WANAOGAWA K ZAO KABLA YA NDOA!!! KAMA SIO BIKRA KUBALI AU KATAAA WEWE NI MALAYA TU NA HUNA DHAMANI MBELE YA MWANAUME MWENYE UTIMAMU WA AKILI ANAETAKA KUOA
 
Screenshot_20240706_220759.jpg
 
Juzi nilileta uzi hapa swala la wanawake kutembea haraka na kuwasababiasha kutukosa mabwana wa maana.

Kama kawaida bado naendelea kutafuta mwanamke wa ndoto zangu taratibu ila napotafuta lazima niwaletee mawili matatu nayokutana nayo ili wakujifunza wajifunze

Hapa katikati nilifahamiana na binti flani mrembo anaeonekana yupo smart na ana heshima na namba yake niliipata sehem kuna Duka la vyombo kigamboni, tukaingia penzini ila penzi linaenda mwezi wa tatu nimeonana nae mara moja tu tena alikuwa anatoka kazini jioni na jumapili zote ansema yupo na mama yake nyumbani anassma mama yake ni mkali hataki atoke ,na na siku za kazi anaongozana na mama yake maana ndio mwenye lile Duka so anasadiana nae kazi.

Hapo ana miaka 28, anasema mama mkali kutoka hawezi kama vipi nije kwao nitoe barua nimuowe tuwe huru

Nikasema kheee??!! Nawezaje kuja kuleta Barua kwa binti ambae hata kukutana tu ni mara moja tena barabarani yaani mahusiano ya kwenye simu ndio nilete barua,nikamuuliza hata ingekuwa wewe ungeweza? Nikamuuliza Unaweza kwenda kununua Gari pasipo kutesi au unaweza kununua nguo pasipo kuijaribu kuwa ni size yako ukiuziwa mdosho je?

Hapo Tayari kwa miezi mitatu alishakula kama laki tisa yangu nikauliza sasa uliwezaje kuomba hela na vitu vya thamani kwa mwanaume ambae hajakuowa siungemuomba mama yako akupe nikapata na hasira

Nikamwabia kwa umri aliokuwa nao akiendelea kusema mama ananibana sijui mama ni mkali hakuna mwanaume atakuja kumuowa hadi anafikisha miaka 40 atazeekea kwa mama yake maana pale tayri 28,

Kiuhalisia siku hzi hakuna mwanaume anaweza kuowa mwanamke ambae hajala mzigo kuthibitisha yaliyomo yamo, kama amekeketwa je utajuaje, hata wanawake nao.skuizi lazima watesti urijali kwanza wa mwanaume ndio waingie kwenye Ndoa hakuna mambo ya kwenda kutestia kwenye ndoa siku hizi.
Naam
 
Back
Top Bottom