Wanawake mnaovaa hivi vipedo acheni mnapoelekea sio pazuri

Wanawake mnaovaa hivi vipedo acheni mnapoelekea sio pazuri

Sasa binti kung'arisha biashara yake ya masaburi we hutaki mkuu🤩😝😂 vaa miwani ya mbao tuache wavuvi tuinjoy samaki aina ya Sangara XXL
🤣🤣🤣🤣,Si ndio hapo,anataka kutuzuia tusifaidi uumbaji mkuu
 
Mimi kuvaa si shida shida inakuja kukuta demu kakivaa alafu mbele kimetuna na kimeweka msitari kabisa ukiiona unasema hiyooo sasa nilikutana naye maeneo ya mwana nyamara yaan ilikua imevimba mithiri ya nguruwe dume sikuweza kuvumilia nikasogea karibu nikashake mkono nikaigusa alafu nikakauka kama sikua na nia weee akanifata kaka umenifanya nn nikamuambia hata mm ninamoyo. Dada zangu weken chupi bas au ukikivaa hakikisha unauza ebooo
 
Back
Top Bottom