Wanawake mnaovaa hivi vipedo acheni mnapoelekea sio pazuri

[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimkuta mmoja maeneo ya SamakiSamaki Kiukweli Nilijisikia kinyaa kuona mwanamke mzuri alafu hajisitiri Mwishowe nikamuita nakupiga nae story niliishia kumtongoza na kuondoka nae...Kwenda kulala nae hadi majogoo.!
 
Mkuu kama hupendi wanawake dizaini hii isiwe taabu kwako, funga macho tuachie sisi....wewe jirushe na hao wavaao magunia mwilini kwenye hili joto la Dar.
 
Ujue pia yuko sokoni. Siyo bure [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…