King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Biashara MATANGAZO.Dunia imeenda Kasi Sana yaani viskirt tight leo hii imekuwa Ni fashion?si nguo za ndani hizi mnavaa mpaka mjini barabarani hamna aibu msichokijua Ni kuwa wanaume tunapenda wanawake wanaojisitiri kiheshima nyie wa kisasa tunapiga na kuacha tu
View attachment 1645504
Aya bhana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Aaah ukishakuwa mtu mzima...unachangua na vyakusema..
Lipo full Mkuu...Naomba lift
Mgf [emoji7]Lipo full Mkuu...
Mgf miss you Jamani[emoji7]Mgf [emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23]Af utu tu dude tulikua tunavaliwa ndani miaka miwil nyuma..
Jana maeneo ya goba wakat nanunua mahitaj jion mdada na mama ake wote wamevaa hvo vidude..mama cheus dada cheupe
Ila ukiona mwnaamke anavaa hvo ujue msafi
Mi napenda kumwona mwanamke kavaa hivo ila sio demu wangu avae..marufuk
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi kuvaa si shida shida inakuja kukuta demu kakivaa alafu mbele kimetuna na kimeweka msitari kabisa ukiiona unasema hiyooo sasa nilikutana naye maeneo ya mwana nyamara yaan ilikua imevimba mithiri ya nguruwe dume sikuweza kuvumilia nikasogea karibu nikashake mkono nikaigusa alafu nikakauka kama sikua na nia weee akanifata kaka umenifanya nn nikamuambia hata mm ninamoyo. Dada zangu weken chupi bas au ukikivaa hakikisha unauza ebooo
Sijawahi vaa nguo ya namna hio
Uliniona na wenge wewe
Mkuu kama hupendi wanawake dizaini hii isiwe taabu kwako, funga macho tuachie sisi....wewe jirushe na hao wavaao magunia mwilini kwenye hili joto la Dar.Dunia imeenda Kasi Sana yaani viskirt tight leo hii imekuwa Ni fashion?si nguo za ndani hizi mnavaa mpaka mjini barabarani hamna aibu msichokijua Ni kuwa wanaume tunapenda wanawake wanaojisitiri kiheshima nyie wa kisasa tunapiga na kuacha tu
View attachment 1645504
Mimi hata sijui navaa nini ila hivyo sivai
Hahahhah ebu niambie ulichootea
Ujue pia yuko sokoni. Siyo bure [emoji23] [emoji23] [emoji23]Af utu tu dude tulikua tunavaliwa ndani miaka miwil nyuma..
Jana maeneo ya goba wakat nanunua mahitaj jion mdada na mama ake wote wamevaa hvo vidude..mama cheus dada cheupe
Ila ukiona mwnaamke anavaa hvo ujue msafi
Mi napenda kumwona mwanamke kavaa hivo ila sio demu wangu avae..marufuk