Wanawake mnaovaa skirt zenye split (mpasuo) acheni ushamba!!

Wanawake mnaovaa skirt zenye split (mpasuo) acheni ushamba!!

barafuyamoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
32,378
Reaction score
29,739
Habari!
Unakuta mwanamke kapendeza na anatega vya kutosha! Kapiga na sketi yake matata inayomfanya aonekane sexy na nyuma ina bonge la mpasuo, unakuta usafiri pia kajahliwa na mzigo uko vizuri.
Sasa wanaume tunakuwa na hamu na shauku ya kujua unakoelekea huo mpasuo wa sketi, sasa unamcheki na kuufuatilia kwa umakini wa hali ya juu huo mpasuo, ghafla unakutana na li tight, mnaboa sana!
ACHENI USHAMBA, SKIRT YENYE MPASUO HAIVALIWI NA TIGHT TENA NDEFU, KAMA VIPI NI BORA MVAE TU MAGAUNI NA ANDASKETI.
 
Kwahiyo wale wanaovaa gauni refu halaf ndani anavaa tight si kasheshe tupu...bora mtu avae underskrt sio tight raha ya mpasuo tuone paja bwana
Kasheshe iko wapi? Kama utakutana na uvundo basi ni uchafu wake tu. Wanawake wengi tunavaa tight kila siku. Nguo ambayo sivai tight ni suruali peke yake. Skirt au gauni tight ni muhimu. Wenyewe tunajua umuhimu wake. Kama mnataka kuona mapaja waambieni wapenzi wenu watembee uchi.
 
Kasheshe iko wapi? Kama utakutana na uvundo basi ni uchafu wake tu. Wanawake wengi tunavaa tight kila siku. Nguo ambayo sivai tight ni suruali peke yake. Skirt au gauni tight ni muhimu. Wenyewe tunajua umuhimu wake. Kama mnataka kuona mapaja waambieni wapenzi wenu watembee uchi.

Sawa tutawaambia
 
Hahaaaa ukitaka kuviona kaombe tu kuonyeshwa, we unataka kuona free tu.. No Free in Africa. Mwanamke kujisitiri uonyeshe paja ili iweje
 
Back
Top Bottom