Wanawake mnapovaa huwa mnamlenga nani hasa?


unahitaji zaidi nani akuhisi uko special ni mwanamke mwenzako au??
 
women wanavaa kwa ajili ya kuonyeshana wao wenyewe zaidi....

kushikishana adabu....

Mi sijui kama nakushikisha adabu ila hua navaa ili wewe ufurahi na wenzako wakuonee wivu!!
 
comfortability,confidence,respect and my dignity!!!
 
tunavaa ili kujistili na tunavaa nguo fashion tofauti ili kwenda na wakati na wala sio ili kuwavutia wanaume kwani wapo wanaopendwa na hawana viwalo hivyo so tunavaa kufurahisha roho zetu
 
uchi sio ishu sana ni kitu ambacho kinajulikana sana swala that decent dressing ar u real which attention ?? Man, woman or ur personal.

Me ,me and me
It's all about me..
I like to impress my self
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…