Wanawake mnatakiwa kutafakari kwa kila maamuzi unayochukua kwani wakati mwingine huweza kuyajutia.

Mwanzo umesema rafiki yako anamke then kabadilika kawa girlfrnd tena.kama wangekuwa ni wanawake wapo kwenye ndoa wala isingekuwa shida ila kama ni hawa vishitobe
 
Which is which, ni Mke au Girlfriend? Hakuna ushauri hapo makosa yenyewe madogo tu wanajifanya kususa... Kama hakuna kingine zaidi vumilieni watarudi tu hao si ni ulimbukeni wa Mapenzi tu huo...Watakapoolewa hakuna muda wa kususa tena
 
Ha ha ha Mkuu umenikumbusha mbali sana...Nimewahi kutumia hii technique nilijifanya nimechukia hakuna kuongea kuanzia asubuhi nikalala tangu saa moja hadi saa 7 mchana. Weeeee alikuwa Mama wa watu akanibembembeleza mpaka nikamwonea huruma wakati kosa lilikuwa la kwangu tena la makusudi. Sometimes inatulazimu kufanya hivyo
 
Heheheeeeeeee..........filamu ya kibongo hiyo, eti true stori.
We ndo umeiona Jana.
 
Sio mbaya umejitahidi kuongeza nyuzi,si unaona tunachangia!
 
kama maigizo kumbe kweli poleni jmn itabidi hao wanawake wakutaanishwe mjadili mkiwa wote wanne
 
Ndio maana tunashauriwa mtu aki-panic unatakiwa umwache kwa siku kama mbili hivi alafu mtafute atakuwa amelia na kutafakari vya kutosha hivyo ukimtafuta kwa kipindi hicho mtaongea lugha moja, sasa nyie marafiki mmeshirikiana kwenye kununua keki kwanini msingemalizia kwa kufanya sherehe kwa pamoja kabisa. Hiyo ni sawa na kuomba kazi alafu ukatuma CV ya mkeo badala ya kwako, ANYWAY POLE SANA
 
maloveeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Billie njia yako nimeipenda lazima bibie awe mpole na ataomba msamaha hata kama kosa si lake.
 
This is cooked story,humu mmu siku hizi kwa uwongo.mwee.
 
Heheheeeeeeee..........filamu ya kibongo hiyo, eti true stori.
We ndo umeiona Jana.



Anatuletea maigizo humu na kujifanya atii True story...
Hii ni filamu ya keki ya b..........y, bila shaka ameiona jana
 
Anatuletea maigizo humu na kujifanya atii True story...
Hii ni filamu ya keki ya b..........y, bila shaka ameiona jana

Kanichekesha..hafu kaangalia wanawake tu, vipi lingemfika mwanaume ingekuwaje? Tena wanaume ndo waarhirika wakubwa wa maamuzi ya haraka.
 
hahaaaaaa,hapo kwenye red umeniacha hoi!

 

hahahahaaa mbavu zangu mie..Billie hii njia yako doesn't work to every woman,hii ukinifanyia mie ndo umejiharibia kwa kweli looh mitusi mie hell no!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…