M Mwanaweja JF-Expert Member Joined Feb 8, 2011 Posts 3,575 Reaction score 526 Aug 3, 2012 #41 MadameX said: Ushauri wangu mambo ya keki na picha, yamepitwa na wakati. Ikizidi kutaneni nyote wanne na keki zenu myazungumze Click to expand... keki zilishavurugika hakuna kukutana tena hicho ndio kiboot
MadameX said: Ushauri wangu mambo ya keki na picha, yamepitwa na wakati. Ikizidi kutaneni nyote wanne na keki zenu myazungumze Click to expand... keki zilishavurugika hakuna kukutana tena hicho ndio kiboot
Billie JF-Expert Member Joined Aug 13, 2011 Posts 13,588 Reaction score 22,752 Aug 6, 2012 #42 noella said: hahahahaaa mbavu zangu mie..Billie hii njia yako doesn't work to every woman,hii ukinifanyia mie ndo umejiharibia kwa kweli looh mitusi mie hell no! Click to expand... Hivi unajua kama wanawake wengi wa bongo wanapenda kufokewa na wapenzi zao? Karaga bao we jifanye kiburi kama wakina Jinifer lopez wakizinguliwa kidogo wanadai kuachana wanzungu wanaweza hayo mambo kwa kuwa hawana njaa unalijua jilo?
noella said: hahahahaaa mbavu zangu mie..Billie hii njia yako doesn't work to every woman,hii ukinifanyia mie ndo umejiharibia kwa kweli looh mitusi mie hell no! Click to expand... Hivi unajua kama wanawake wengi wa bongo wanapenda kufokewa na wapenzi zao? Karaga bao we jifanye kiburi kama wakina Jinifer lopez wakizinguliwa kidogo wanadai kuachana wanzungu wanaweza hayo mambo kwa kuwa hawana njaa unalijua jilo?
Gold Member Joined Aug 7, 2012 Posts 62 Reaction score 24 Aug 7, 2012 #43 duh polen sana bt mapenz ni ubunif c kucopy na kupaste ka mlivyofanya