Wanawake mnatukosea sana, huu mtego mnachomoka vipi ndugu zangu wanaume

Wanawake mnatukosea sana, huu mtego mnachomoka vipi ndugu zangu wanaume

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Ndugu zangu habari za wakati huu

Wanawake tunawapenda sana sema kuna wakati mnachokitafuta mtakipata, sisi wanaume ni binadamu tuu na hatujakamilika kivile.

Umekaa umetulia zako ghafla simu inaingia namba ngeni sauti halisi ya mwanamke haieleweki anaibuka tuu na kusema baby wangu unaendeleaje na story za hapa na pale na vimaswali vya mtego unaanza kupata kigugumizi. Unaisikiliza simu tuu kimnya anaanza kukuambia baby umenisahau au una ma-baby wengi unabaki kimya na anakata simu kwa hasira..

Ni kweli wanaume tunawapenda ila huu mtego mnaotuwekea mnatukosea sana, mwanamke umepiga na namba mpya piga basi kwa sauti yako tuliyoizoea siyo unaweka magic voice au jitambulishe kabisa.

Mimi haya mazingira yananiwia ugumu kabisa ndugu zangu hebu nyie mnachomokaje hapa.
 
Kuwa na ka baby kako kamoja uepuke kero kama hizo
Tatizo wanawake hamueleweki ukiwa na kababy kamoja kanajiona keki na maringo ya kiwaki . Bora man uweke list yako akizingua huku unahamia huku.
Shida ni kupigiwa simu za kiduanzi na namba ngeni
 
Ndugu zangu habari za wakati huu

Wanawake tunawapenda sana sema kuna wakati mnachokitafuta mtakipata, sisi wanaume ni binadamu tuu na hatujakamilika kivile.

Umekaa umetulia zako ghafla simu inaingia namba ngeni sauti halisi ya mwanamke haieleweki anaibuka tuu na kusema baby wangu unaendeleaje na story za hapa na pale na vimaswali vya mtego unaanza kupata kigugumizi. Unaisikiliza simu tuu kimnya anaanza kukuambia baby umenisahau au una ma-baby wengi unabaki kimya na anakata simu kwa hasira..

Ni kweli wanaume tunawapenda ila huu mtego mnaotuwekea mnatukosea sana, mwanamke umepiga na namba mpya piga basi kwa sauti yako tuliyoizoea siyo unaweka magic voice au jitambulishe kabisa.

Mimi haya mazingira yananiwia ugumu kabisa ndugu zangu hebu nyie mnachomokaje hapa.
Sasa ishu ndogo hivi ushaipandisha kizimbani....mkuu,,,,je ungeombwa kabisa
 
Ndugu zangu habari za wakati huu

Wanawake tunawapenda sana sema kuna wakati mnachokitafuta mtakipata, sisi wanaume ni binadamu tuu na hatujakamilika kivile.

Umekaa umetulia zako ghafla simu inaingia namba ngeni sauti halisi ya mwanamke haieleweki anaibuka tuu na kusema baby wangu unaendeleaje na story za hapa na pale na vimaswali vya mtego unaanza kupata kigugumizi. Unaisikiliza simu tuu kimnya anaanza kukuambia baby umenisahau au una ma-baby wengi unabaki kimya na anakata simu kwa hasira..

Ni kweli wanaume tunawapenda ila huu mtego mnaotuwekea mnatukosea sana, mwanamke umepiga na namba mpya piga basi kwa sauti yako tuliyoizoea siyo unaweka magic voice au jitambulishe kabisa.

Mimi haya mazingira yananiwia ugumu kabisa ndugu zangu hebu nyie mnachomokaje hapa.
Huo ni ufala na mwanamke aliyejaribu kunifanyia huo mchezo alinikoma.
Hata kama nikikujua utakoga matusi kama sikujui.
Maana huo ni utoto,umepiga simu jitambulishe,sawa wewe unadai ni baby wangu sema we unaitwa nani!?
Ukileta mboyoyo matusi na naku block.
Hata ukija kujieleza naweza kukutukana zaidi.
 
Tatizo wanawake hamueleweki ukiwa na kababy kamoja kanajiona keki na maringo ya kiwaki . Bora man uweke list yako akizingua huku unahamia huku.
Shida ni kupigiwa simu za kiduanzi na namba ngeni
Bro hakuna muda wa kuendekezana na kuchezeana michezo ya kipuuzi.
Umemtokea kakubali aminianeni maisha yaendelee.
Kuchezeana michezo ya watoto wa form 2/3 muda huo hakuna ni upuuzi.
Inaonekana una muda wa kusikiliza sana UPUUZI mkuu.
Umepiga simu namba ngeni hujajitambulisha usithubutu kupiga.
 
Ndugu zangu habari za wakati huu

Wanawake tunawapenda sana sema kuna wakati mnachokitafuta mtakipata, sisi wanaume ni binadamu tuu na hatujakamilika kivile.

Umekaa umetulia zako ghafla simu inaingia namba ngeni sauti halisi ya mwanamke haieleweki anaibuka tuu na kusema baby wangu unaendeleaje na story za hapa na pale na vimaswali vya mtego unaanza kupata kigugumizi. Unaisikiliza simu tuu kimnya anaanza kukuambia baby umenisahau au una ma-baby wengi unabaki kimya na anakata simu kwa hasira..

Ni kweli wanaume tunawapenda ila huu mtego mnaotuwekea mnatukosea sana, mwanamke umepiga na namba mpya piga basi kwa sauti yako tuliyoizoea siyo unaweka magic voice au jitambulishe kabisa.

Mimi haya mazingira yananiwia ugumu kabisa ndugu zangu hebu nyie mnachomokaje hapa.
Huyo manzi kazaliwa elfu mbili na ngapi Mkuu?
 
Back
Top Bottom