unajua dunia ya wanaume ni tofauti sana na ile ya wanawake. mapenzi kwa mwanaume huanza na kutamani na huchochewa zaidi na tamaa. ni baada ya kutamani ndio huingia naother stage ya kupenda, hivyo utaona motivation kubwa ni kutamani............. usiangalie vocabulary iliyotumika bali angalia maudhui........ anaposema "kifaa kipya" unachukulia neno kifaa kama linam-degrade mwanke! lakini tuna maneno mengine mengi, mfano "mtoto yule chuma kweli" sentensi hii haina maana kwamba anayezungumziwa ni "mtoto" ama ni "chuma" nyuma yake kuna maudhui ya mvuto kimahaba..............
kubali usikubali, we sart by thinking about pussies and finish by embracing companion and other aspects of relatonships............... kinyume chake unataka kufananisha watu na mashine zenye maarifa artificial na zisizo na hisia........ ndoa zikifikia hapo (zisihusishe hisia halisi za urijali za wanaume) zitakuwa zimeharibika zaidi .......... na matatizo ya kutazama nje for more satisfacton hayataisha...........