Wanawake mpo! Endeleeni kukataa uke wenza

Wanawake mpo! Endeleeni kukataa uke wenza

Wanawake walivyo waajabu,
Hapo usikute watoto 10 sio wake[emoji38]
 
Mbona mnamshangaa huyu, kuna Mmasai wa pale Makuyuni ana Watoto 80 wanaofahamika na anaishi nao karibu, acha wasiofahamika

Ana shamba kubwa lenye ekari si chini ya 300 anachungia ng'ombe na mbuzi
Uongo mtupuuu
 
Mke mmoja tu mnasumbuana viporo haviishi kila kukicha, sasa hao watatu mtawapa nini zaidi ya kusaidiwa kurutubisha na watoto unalea, unaona watoto wenye vichwa vya papai wapo, vichwa vya nazi wapo, vichwa parachichi humo humo vingine kama chupa ya chai [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Familia yote kuanzia baba, wake zake na watoto wote nyuso zao hazina nuru kabisa. Haya maisha wala siwezi kuya intertain hata siku moja
Umeona sura zao hazina nuru kabisa!
 
Wanawake walivyo waajabu,
Hapo usikute watoto 10 sio wake[emoji38]
Mbona umempa credit nyingi yaani 3 ndiyo wake mmoja mmoja kwa kila mke, yeye kazi yake ni kutunza tu.
 
Mbona familia nzima inaonekana Haina furaha na kinachoendelea
 
Wanaonekana wana huzuni hakuna uso hata mmoja uliokunjuka kwa furaha. NA HAPO NI EID
 
Bado watoto wa nje!![emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom