Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani pole [emoji1]Kweli mkuu hapa kiuno changu nachechemea
Sasa matumizi yake hapo ndo yapoje?Dawa ya kuboost performance ya gemu/shoo na kuchelewesha wazungu/wareno kutoka mapema tunayotumia sisi wanaume...
Maelezo mengine haya hapa chini (copy & paste)
Naam vumbi la congo.(kasongo sebene)
nimekuwa nikipata maswali mengi kuhusu vumbi la congo.
leo nitajibu kwa kifupi.
1. kuhusu kusaidia kusimamisha uume.
HAPANA, vumbi la congo halisaidii kusimamisha uume ila linasaidia kupiga show kwa muda mrefu, hivyo mtu anaweza kupiga show hata masaa 6 kwa round ya kwanza hivyo kumfanya hata yule anayekwenda round moja tu kufurahia tendo haswaaa. so asikuongopee mtu kuwa inasaidia kusimamisha, ukitaka dawa hizo zipo lakini sio vumbi.
2. kuhusu kujua ukali/ubora wa vumbi
vumbi la congo utalijua kama ni kali hata kabla ya show coz huweka ganzi flan hivi, hivyo vumbi la congo lile lenye weusi na linalowasha kwa mbaaali ni bora zaidi ingawa si kigezo pekee.
PIA,
ukali wa sebene unategemea muda tangu ivunwe toka pori, mti uliovunwa n.k
3. kuhusu muda kabla ya kupiga show
vumbi la congo lina tegemea ukali wa vumbi na uhitaji wa mtu coz kama unataka ukae kwa kifua kwa masaa zaidi ya mawili basi yakupasa ukae muda kiasi pia zingatia kiasi ulichopaka.
NB;
Vumbi halifai kutumika kwa wake za watu, wanafunzi wa secondary na watoto wa chips yai yaani wale lelelele.
PIA, kumbuka kunywa MAJI mengi na ushibe CHAKULA kabla ya game.
Asante
![]()
![]()
![]()
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]inapakaliwaSasa matumizi yake hapo ndo yapoje?
Hahahahah aisee kawaidaWe jamaa unatuzo ya kukaa siti ya mbele aisee
Na wimbo wa kujifunzia hayo mauno unayosema ni ule wa somo aloimba kassim na yule mamaPoleee... wengine viuno vya jukwaani wanavileta chumbani, viuno vya chumbani mara nyingi huwa kama vile viuni vya kwenye mduara unavyokizungusha unachora duara yani unaenda degree 360, sasa mtu anasikia viuno viuno anajua ndo vile vya kina Aisha madinda
Mmmh are you sure??Nyie wanaume mtatuua[emoji86] [emoji86]
kasongo sebenekasumbaresA, papa wemba, congo mpako
Unanitamanisha ujue [emoji39]Mm kiuno changu kinazunguka kama ac za zilizofungwa kwenye mitambo ya tanesco utaweza
Ndiwooo, nyimbo za nyota ndo zinafaa kujifunza viuno. Ila wengine hawawezi zungusha taratibu ndo wanakua kama kuku alokatwa kichwa lazima mtu akwazike yani.Na wimbo wa kujifunzia hayo mauno unayosema ni ule wa somo aloimba kassim na yule mama
YesMmmh are you sure??
Kata nioneMauno mauno