Wanawake msikate viuno kama ugomvi

Sasa matumizi yake hapo ndo yapoje?
 
Poleee... wengine viuno vya jukwaani wanavileta chumbani, viuno vya chumbani mara nyingi huwa kama vile viuni vya kwenye mduara unavyokizungusha unachora duara yani unaenda degree 360, sasa mtu anasikia viuno viuno anajua ndo vile vya kina Aisha madinda
 
Na wimbo wa kujifunzia hayo mauno unayosema ni ule wa somo aloimba kassim na yule mama
 
Na wimbo wa kujifunzia hayo mauno unayosema ni ule wa somo aloimba kassim na yule mama
Ndiwooo, nyimbo za nyota ndo zinafaa kujifunza viuno. Ila wengine hawawezi zungusha taratibu ndo wanakua kama kuku alokatwa kichwa lazima mtu akwazike yani.
 
Sijawahi penda humu jf,ila kwa maneno yako mzigua90,nimekupenda bure,
kwa hiyo naja pm,usiifunge tafadhali,napanda taksi kuja huko pm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…