Akilitime
JF-Expert Member
- Dec 27, 2017
- 581
- 758
Imezoeleka kwenye mitandao ya kijamii kusikia kila kitu kibaya wanapewa wanaume wa Dar, ****"poor performance kunako 6/6, sijui eti vibamia, n.k
Yawezekana madai hayo in kweli, ila tukubali kuwa wanaume wa Dar wana mambo mengi yakuwafanya wasiwe the best kama watu wa Maswa, Rorya, Ukerewe n.k , kwa sababu zifuatazo:
1)Joto lililopitiliza linaweza sababisha kutokuwa comfortable, hasahasa unapokuwa unahangaika na kufuta mijasho, ukibahatika kumaliza first round yawezekana usitamani kuingia ulingoni tena.
2)Stress za kuchelewa kazini kutokana na msongamano wa magari. Utakuta Me akiingia kitandani mda wrote anawaza ni njia IPI apitie ili awahi kufika keenye kibarua, NFO wengi wao unakuta wanaamka saa kumi kasoro alfajiri.
3)Traffic jam wakati wa kutoka kwenye utafutaji, wengine hadi saa tatu usku ndo wanaingia ndani wamechoka zao, wakibahatika kuingia kitandani ndo baaasi usingizi huoooo.
LAKINI KWA WANAUME WA KIJIJINI HIZO STRESS HAKUNAGA.
Weka na nyingine unayoijua
Yawezekana madai hayo in kweli, ila tukubali kuwa wanaume wa Dar wana mambo mengi yakuwafanya wasiwe the best kama watu wa Maswa, Rorya, Ukerewe n.k , kwa sababu zifuatazo:
1)Joto lililopitiliza linaweza sababisha kutokuwa comfortable, hasahasa unapokuwa unahangaika na kufuta mijasho, ukibahatika kumaliza first round yawezekana usitamani kuingia ulingoni tena.
2)Stress za kuchelewa kazini kutokana na msongamano wa magari. Utakuta Me akiingia kitandani mda wrote anawaza ni njia IPI apitie ili awahi kufika keenye kibarua, NFO wengi wao unakuta wanaamka saa kumi kasoro alfajiri.
3)Traffic jam wakati wa kutoka kwenye utafutaji, wengine hadi saa tatu usku ndo wanaingia ndani wamechoka zao, wakibahatika kuingia kitandani ndo baaasi usingizi huoooo.
LAKINI KWA WANAUME WA KIJIJINI HIZO STRESS HAKUNAGA.
Weka na nyingine unayoijua