Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,097
Jamani hivi mmesahau kuwa mie mgonjwa? Haya mawingu na mvua za Dar, huu mkono wenye chuma ndani unauma kitu cha ajabu....... ngoja nawavutia kasi kwanza.................lol
Pata kidonge.Jamani hivi mmesahau kuwa mie mgonjwa? Haya mawingu na mvua za Dar, huu mkono wenye chuma ndani unauma kitu cha ajabu....... ngoja nawavutia kasi kwanza.................lol
Duh............!!!!!!!!!!
Jamani hivi mmesahau kuwa mie mgonjwa? Haya mawingu na mvua za Dar, huu mkono wenye chuma ndani unauma kitu cha ajabu....... ngoja nawavutia kasi kwanza.................lol
Pole Mkuu Mtambuzi,
mimi nakukubali kwa asilimia zote,
najua hata binti zako Cantalisia na Zinduna wanakukubali,
sijui Ashadii, Lizzy, Afrodenzi, Kongosho, Dena Amsi, Marytina, King'asti na wengineo kibao humu jf wanasemaje kuhusu wewe mkuu.
Mi sisemi hapo kwenye list ya mwisho, maana kama 'shari' basi ilianzia hapo hapo kwa huo mstari wa mwisho. Mtambuzi mwenyewe anajua 'waliokuja juu'.