Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,097
Jamani hivi mmesahau kuwa mie mgonjwa? Haya mawingu na mvua za Dar, huu mkono wenye chuma ndani unauma kitu cha ajabu....... ngoja nawavutia kasi kwanza.................lol
pole sana mtambuzi.. Baadaye tutakutana maeneo ye2 yale ya kongoro ili unipe ideas za hawa wabeijing.