Bana haya mambo ya aibu!Upigwe na mwanamke!Haiwezekani!
Saanyengine mkipigwa mnastahili sababu ya kujitia wapofu....
Lakini haiumi sana kama akikupiga mwanamme,simnajua nyie vp mnapiga manake kama una twanga mpunga hata huruma yakusema huyu mwanamke huenda jioni akanifanya nilale kwa raha walaaaaaaaaaaa ni ngumu na mateke kwa kwenda mbele mpaka jino linatoka sehemu yake.AF hivi unadhani masikhara? Wanawake wanatutandika kweli kweli,halafu usiombe kupigwa na mwanamke,hawana hata chembe ya huruma,ni boom boom kwa kwenda mbele utadhani anachanja kuni.
unaona sasa mambo ya gender bias? Sasa kwa nini afukuzwe kazi kisa kupigwa na mkewe.Juzi kijana mmoja mfanyakazi wa benki kaburutwa na mkewe toka kaunta hadi chini pwaaaaa kidogo amtegue kiuno,mambo gani haya jamani?nyie mnashangaa,kuna mjeda fulani pale maeneo ya karakata alitimliwa kaz becouze of that,alikua anapigwa adhalani huku kavaa migwanda yake.
all forms of domestic violence ni mbaya,mi nataka tu ku highlight hili tatizo la wanaume kupigwa na wake zao,tujue na kukubali kuwa lipo na ikiwezekana kama jamii tulifanyie kazi....mambo ya kusema 'mwache apigwe' yatasababisha vilema na hata vifo.Lakini haiumi sana kama akikupiga mwanamme,simnajua nyie vp mnapiga manake kama una twanga mpunga hata huruma yakusema huyu mwanamke huenda jioni akanifanya nilale kwa raha walaaaaaaaaaaa ni ngumu na mateke kwa kwenda mbele mpaka jino linatoka sehemu yake.
Eiyer huamini?
Jee wanaume kuwapiga wake zao ni sawa au mfanye nyie tuu? au mwanamke kaumbiwa kichapo...all forms of domestic violence ni mbaya,mi nataka tu ku highlight hili tatizo la wanaume kupigwa na wake zao,tujue na kukubali kuwa lipo na ikiwezekana kama jamii tulifanyie kazi....mambo ya kusema 'mwache apigwe' yatasababisha vilema na hata vifo.
Siyo rahisi mkurya mwanaume kubondwa na mwanamke, maana kati ya zana anazopewa mwanaume siku ya harusi na wazazi wake ni pamoja na sime na rungu kwa ajili ya kudumishia ndoa.mkurya huyo!