Usipate shida sana, naiuza line za mpesa laki 2.5Mtu mna wiki tu anakwambia, ''Baby naomba basi japo unipe mtaji nifungue kibanda cha MPESA. Love yuuuuu xoxoxoxo''..
Line tu ya M Pesa si chini ya 2milion, bado hujaiwekea float, hujalipia kodi ya
hiyo fremu. Alivyoiomba utadhani ni kakitu ka Elfu thelathini.
Hahahha, kwahiyo pale alipotaja 2million hajakutibua? Hahahah bonny umeua
supermaketJipinde kijana, kunjua mkono[emoji1] [emoji1]
Ha ha ha tatzo aina ya uombaji aisee kuna mwengne unaona Hakuna uwakala Walla kibanda cha kuuzia vochakwahyo unavyomgeuza geuza unajiskia raha tu kuombwa pesa au mitaji mnanuna mtoe hela tu kama unavyombadilishia mastyle
ukiona hivyo ujue uyo anakuchukulia we buziHa ha ha tatzo aina ya uombaji aisee kuna mwengne unaona Hakuna uwakala Walla kibanda cha kuuzia vocha
kwani hayo mastaili wewe hayakupi raha? mbona nikitaka kuchomoa naambiwa subiri subiri!!!????kwahyo unavyomgeuza geuza unajiskia raha tu kuombwa pesa au mitaji mnanuna mtoe hela tu kama unavyombadilishia mastyle
kwahyo kama unaambiwa subiri ukiombwa hela ndo ununekwani hayo mastaili wewe hayakupi raha? mbona nikitaka kuchomoa naambiwa subiri subiri!!!????
Mtu serius haandik xoxoxo na anakuja straight kukwambiaukiona hivyo ujue uyo anakuchukulia we buzi
sio ninune, nahoji wewe kutumia penzi ulilotoa kama kigezo cha kupewa mtaji.kwahyo kama unaambiwa subiri ukiombwa hela ndo unune
hahahh no sio kutoa lkn ni wajibu wako kumpasio ninune, nahoji wewe kutumia penzi ulilotoa kama kigezo cha kupewa mtaji.