dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
inawezekana nikawa mimi ndo nna wajibu wa kukupa, lakini pia na wewe kama una uwezo unaweza kunipa. sio wewe tu ndo uone ndo una haki ya kupewa. kama ambavyo kwenye gemu mimi na wewe wote tunafika kibo, hata kwenye mambo mengine tuende sawa. si ndo hata mliyokubaliana kule beijing? usawa!!hahahh no sio kutoa lkn ni wajibu wako kumpa