Wanawake muache hii tabia, mnatuboa!

Wanawake muache hii tabia, mnatuboa!

hahahh no sio kutoa lkn ni wajibu wako kumpa
inawezekana nikawa mimi ndo nna wajibu wa kukupa, lakini pia na wewe kama una uwezo unaweza kunipa. sio wewe tu ndo uone ndo una haki ya kupewa. kama ambavyo kwenye gemu mimi na wewe wote tunafika kibo, hata kwenye mambo mengine tuende sawa. si ndo hata mliyokubaliana kule beijing? usawa!!
 
779d9fbdbe85ad3559ae79d8de53fc8d.jpg
Mwambie Aje
 
[emoji444] [emoji445] Nasema tax nilipe
Rent me nikupe
Nywele zisongwe
Mombasa si twende
Mapenzi nikupe mpaka we uridhike[emoji444] [emoji445] ---uliza kiatu(ask my shoe).....
 
kwahyo unavyomgeuza geuza unajiskia raha tu kuombwa pesa au mitaji mnanuna mtoe hela tu kama unavyombadilishia mastyle
" ... unavyomgeuza geuza " ... shunie uchokozi huo [emoji1] [emoji1] [emoji1] ... kwani amekuwa chapati
 
Mtu mna wiki tu anakwambia, ''Baby naomba basi japo unipe mtaji nifungue kibanda cha MPESA. Love yuuuuu xoxoxoxo''..

Line tu ya M Pesa si chini ya 2milion, bado hujaiwekea float, hujalipia kodi ya
hiyo fremu. Alivyoiomba utadhani ni kakitu ka Elfu thelathini.
Nawe acha kutongoza hovyo maana wote mpo katika biashara una budi kulipia pia
 
Laini ya m pesa ya milioni unaitoa Antaktika ama? acha ubahili mpe japo laki 5 aanze
 
Back
Top Bottom