dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
inawezekana nikawa mimi ndo nna wajibu wa kukupa, lakini pia na wewe kama una uwezo unaweza kunipa. sio wewe tu ndo uone ndo una haki ya kupewa. kama ambavyo kwenye gemu mimi na wewe wote tunafika kibo, hata kwenye mambo mengine tuende sawa. si ndo hata mliyokubaliana kule beijing? usawa!!hahahh no sio kutoa lkn ni wajibu wako kumpa
" ... unavyomgeuza geuza " ... shunie uchokozi huo [emoji1] [emoji1] [emoji1] ... kwani amekuwa chapatikwahyo unavyomgeuza geuza unajiskia raha tu kuombwa pesa au mitaji mnanuna mtoe hela tu kama unavyombadilishia mastyle
wewe ni me [emoji30]Hahaha hah kuhonga raha hamjui tu... ukiombwa ukiwa huna ndo utalalamika ukiwa nayo utatoa tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
si ndio zenu hizo kukunja kunja watto wa watu" ... unavyomgeuza geuza " ... shunie uchokozi huo [emoji1] [emoji1] [emoji1] ... kwani amekuwa chapati
Ndio MEwewe ni me [emoji30]
tabia hiyo ya "kukunja kunja watoto wa watu" mie sina .... [emoji1] [emoji1]si ndio zenu hizo kukunja kunja watto wa watu
Nawe acha kutongoza hovyo maana wote mpo katika biashara una budi kulipia piaMtu mna wiki tu anakwambia, ''Baby naomba basi japo unipe mtaji nifungue kibanda cha MPESA. Love yuuuuu xoxoxoxo''..
Line tu ya M Pesa si chini ya 2milion, bado hujaiwekea float, hujalipia kodi ya
hiyo fremu. Alivyoiomba utadhani ni kakitu ka Elfu thelathini.
je nami pia naruhusiwa kuja hukoooo [emoji117] [emoji117] [emoji117] pm? [emoji4] [emoji4]nakuja pm [emoji28]
unaruhusiwa karibu [emoji4]je nami pia naruhusiwa kuja hukoooo [emoji117] [emoji117] [emoji117] pm? [emoji4] [emoji4]
unaruhusiwa karibu [emoji4]
mlango umefungwa kwa ndani .... [emoji1] [emoji1]unaruhusiwa karibu [emoji4]
Ckweli[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]kwahyo unavyomgeuza geuza unajiskia raha tu kuombwa pesa au mitaji mnanuna mtoe hela tu kama unavyombadilishia mastyle
Mwambie Aje
[emoji28][emoji28][emoji28]kumbe ulikua seriousmlango umefungwa kwa ndani .... [emoji1] [emoji1]