Wanawake, muda gani huwa unachukua kufika kileleni?

Wanawake, muda gani huwa unachukua kufika kileleni?

Afrika wengi wasiokuwa na mafunzo sahihi wanapanda bila matayarisho.

Sexuality ni matayarisho kabla ya kupandana, kupandana ni kufikia tu kikomo.

Maandalizi ya mambo (sexuality) huwa ni mfumo wa maisha, raha jipe mwenyewe, toka usafi wa unapoamka mpaka unavyoishi, unavyokula, namna ya kufikiri na mpaka shughuli unazofanya kila siku.

Kwa jinsi tunavyosoma "comments" za wengi kuhusu "sex" ya Ki Afrika, hususan Tanzania, tunaona kuwa uanamme wa mtu anaupima kwa muda gani ataweza kuhimili kumtesa mwanamke kitandani. Kila muda unavyokuwa mrefu kwake ndiyo uanamme.

Kwa mwanamke hayo ni mateso. Muda mrefu anaotakiwa kuchukua mwanamme ni kuandaa mazingira na kuandaa "sexual feelings" kwa wote na si kudumu aki pump kama hana akili vizuri.

Waswahili, mila zetu ni maandalizi ya muda mrefu kuwa sexual, kuanzia mavazi, manukato, usafi, vyakula mpaka namna utavyoongea, bedroom (venue) imetayarishwaje, maongezi ya kabla na baada na mambo mengi madogo madogo ambayo hayaelezeki.

Jamii nyingi (majority) za Kafrika mwanamke anakuwa ni mtumwa, hiyo "sexuality" ataijenga saa ngapi.

Jitu linanuka shombo ya nyama choma, domo limechacha mipombe ya kutwa nzima, jasho la ma barmaid limemganda kwenye nguo, akiingia nyumbani kwake ananuka sigara, pombe, jasho lake, jasho la ma barmaid mchanganyiko, akivua viatu soksi zinanuka uvundo. Akivua nguo rangi ya mwili imebadilika na kupauka kwa fangasi za uchafu. Huyo hata dakika elfu kumi hamfikishi mwanamke kileleni labda wawe hali kadhalika. Kinyaa.

Nyege ni kunyegezana.
Dah!!
Umetuweza leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afrika wengi wasiokuwa na mafunzo sahihi wanapanda bila matayarisho.

Sexuality ni matayarisho kabla ya kupandana, kupandana ni kufikia tu kikomo.

Maandalizi ya mambo (sexuality) huwa ni mfumo wa maisha, raha jipe mwenyewe, toka usafi wa unapoamka mpaka unavyoishi, unavyokula, namna ya kufikiri na mpaka shughuli unazofanya kila siku.

Kwa jinsi tunavyosoma "comments" za wengi kuhusu "sex" ya Ki Afrika, hususan Tanzania, tunaona kuwa uanamme wa mtu anaupima kwa muda gani ataweza kuhimili kumtesa mwanamke kitandani. Kila muda unavyokuwa mrefu kwake ndiyo uanamme.

Kwa mwanamke hayo ni mateso. Muda mrefu anaotakiwa kuchukua mwanamme ni kuandaa mazingira na kuandaa "sexual feelings" kwa wote na si kudumu aki pump kama hana akili vizuri.

Waswahili, mila zetu ni maandalizi ya muda mrefu kuwa sexual, kuanzia mavazi, manukato, usafi, vyakula mpaka namna utavyoongea, bedroom (venue) imetayarishwaje, maongezi ya kabla na baada na mambo mengi madogo madogo ambayo hayaelezeki.

Jamii nyingi (majority) za Kafrika mwanamke anakuwa ni mtumwa, hiyo "sexuality" ataijenga saa ngapi.

Jitu linanuka shombo ya nyama choma, domo limechacha mipombe ya kutwa nzima, jasho la ma barmaid limemganda kwenye nguo, akiingia nyumbani kwake ananuka sigara, pombe, jasho lake, jasho la ma barmaid mchanganyiko, akivua viatu soksi zinanuka uvundo. Akivua nguo rangi ya mwili imebadilika na kupauka kwa fangasi za uchafu. Huyo hata dakika elfu kumi hamfikishi mwanamke kileleni labda wawe hali kadhalika. Kinyaa.

Nyege ni kunyegezana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhan zaid nashukuru mi huwa siwahi kukojoa goli la kwanza linaweza kuchukua had dakika 30-40 kutegemea na mood na aina ya demu niko naye ila madem wengi wanaofika kileleln ka kugegedwa lazima uchukue had dakika 20 na tena sio kila style itamfanya afike kila dem anasehem yake na style yake ambayo akikunwa vizuri ndio anafika akama yupo comftable na wewe anaeza kukuambia wapi panamkuna au wewe uwe mdadisi....lakin pia usikariri madem wapo tofauti mwingine ukichezea tu kisim chake kwa muda anafika kilelen, mwingine hata maziwa tu na kitovu anafika lazima uwe mtundu ujue akiguswa wapi anapagawa...lakin pia utundu wako utaweza kumfanya awahi kifika au achelewe itategemea na ulivyo muandaa na hiyo dem nae ana hisia za karibu ama la,wanawake.wapo tofauti na sio suala la eneo....na kubwa zaid huyo dem ana kufeel anafanya kwa mapenz yake usitegemee unamlazimisha demu,au anakuhonga uchi ili apate kitu flan kama rushwa yaan ili pate kaz au hela akawa na hisia na wewe hafiki kilelen ng'o ata ku actia tu lakin hamna kitu.!..tendo linabebea na hisia zaid kwa mwanamke na kwa mwanaume linabebwa na vitendo zaid.!

NB:hayo fanya na demu wako au mkeo ila kama wa kupita wa twanga kojoa lala usijiumize mengine ni sugu hata uingize miguu..!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nmependa hio conclusion yako mkuu[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi utajuaje demu kafika kileleni/kakojoa?? Hususani wanawake ambao sio squirters..msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo tofauti,wengine anakukumbatia kwa nguvu hata kukuuma meno,wengine wanapiga kelele sana na kuishiwa nguvu,ila lazima jasho jepesi limtoke uson kifuano hata kama mpo kwenye A/C na pia papuchi itakuwa inabana dushelele na huwa inachukua sekunde 15-30 akiwa kwenye hali hiyo....wengine akishapizi ndio anakuwa anaitaka dudu haswa wengine ndio habari imekuwa inaishia hapo hataki kuendelea au anafanya kiuvivu sana sababu anakuwa amechoka sana.'

Mwanamke anaeku actia papuchi haiban na hata hicho kijasho hutakiona...ila asilimia kubwa wanawake wana act kuwafurahisha wapenz wao sababu wanaume wengi wanapenda kuona kiwa wemewafurahisha wapenz wao so wanawake wana act na pia wanaume tunaamini ukifikisha mwanamke kilelen basi anakupenda ndio tunapoibiwa hapo.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WANATAKA UZOEFU WAKO
To me Inategemea na bolo manjonjo ya mwanaume na mood mkuu.. Kwa wenye mbilimbi binafsi siwezi kufika hata awe na mikogo kiasi gani..

Wa kukojoa dakika mbili pia sifiki hata kidogo

Mwenye dudu lake la maana pia awe fundi plus niwe namfeel... aaaahh we acha tu.



Smart911




Sent using Jamii Forums mobile app
 
To me Inategemea na bolo manjonjo ya mwanaume na mood mkuu.. Kwa wenye mbilimbi binafsi siwezi kufika hata awe na mikogo kiasi gani..

Wa kukojoa dakika mbili pia sifiki hata kidogo

Mwenye dudu lake la maana pia awe fundi plus niwe namfeel... aaaahh we acha tu.



Smart911




Sent using Jamii Forums mobile app
ANHAA KUMBE AISEE..VIBA100 NAONA WANAKUTUKANA KIMOYOMOYO
 
Back
Top Bottom