Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
🤣🤣🤣🤣Mzee mwenzangu Mpaji Mungu unaona napendwa hadharani ??? Ninataka uwe bodigadi sasa uilinde hii mali 😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Mzee mwenzangu Mpaji Mungu unaona napendwa hadharani ??? Ninataka uwe bodigadi sasa uilinde hii mali 😁😁😁
io mchawi niwewe
HAHAHAHA 😂😂😂😂 siwezi soma
Jogoo akitaka kumpanda mtetea hatumi mshenga. Kama kutuma mwakilishi akutongozee ni heshima basi na kuchapiwa ni hekima!Wanaume kamwe hawatongozi wanawake wenye status kubwa kuliko wao. Ndiyo maana huku kitaa wadada wakali sana huwa hawaolewi, ni kwasabb wanaogopa na kila mwanaume.
Lkn hawa wenye sura kama wako msibani ndiyo hutongozwa na kila mwanaume. Kwasabb kila mwanaume anamuona mwanamke wa namna hii kuwa anammudu.
N.B. Anayekuheshimu haji kukutongoza moja kwa moja, bali hutuma mtu.
Mbona Mimi mwanaume Wangu nimemzidi Na amenitongoza Na tunapendanaWanaume kamwe hawatongozi wanawake wenye status kubwa kuliko wao. Ndiyo maana huku kitaa wadada wakali sana huwa hawaolewi, ni kwasabb wanaogopa na kila mwanaume.
Lkn hawa wenye sura kama wako msibani ndiyo hutongozwa na kila mwanaume. Kwasabb kila mwanaume anamuona mwanamke wa namna hii kuwa anammudu.
N.B. Anayekuheshimu haji kukutongoza moja kwa moja, bali hutuma mtu.
Basi wewe ilipaswa kuishi Mars, kwa kuwa ni mwanamke wa kipekee.Mbona Mimi mwanaume Wangu nimemzidi Na amenitongoza Na tunapendana
😅😅😅Kikubwa nampenda Na namheshimuBasi wewe ilipaswa kuishi Mars, kwa kuwa ni mwanamke wa kipekee.
Njoo lishushemrembo vipi mbona sikuelewi?😕😕😕
joto la hedhi limekupanda nini?
Ukitongozwa Mshukuru Mungu Umeonekana Kuna muda Utawatafuta hao unaotaka wakuogope Mama na Kiujumla Mwanaume Mkamilifu hajawahi kumuogopa mwanamke anayemtaka ukitakwa utafatwa bila shidaWanaume kamwe hawatongozi wanawake wenye status kubwa kuliko wao. Ndiyo maana huku kitaa wadada wakali sana huwa hawaolewi, ni kwasababu wanaogopwa na kila mwanaume.
Lkn hawa wenye sura kama wako msibani ndiyo hutongozwa na kila mwanaume. Kwasababu kila mwanaume anamuona mwanamke wa namna hii kuwa anammudu.
N.B. Anayekuheshimu haji kukutongoza moja kwa moja, bali hutuma mtu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah kwahiyo baba yako hakumuheshimu mama yako?
Mwanaume wako mwanafunzi wa chuo au🤣Mbona Mimi mwanaume Wangu nimemzidi Na amenitongoza Na tunapendana
🤣🤣🤣 mleta mada kajichanganya tu mumsameheMbona Mimi mwanaume Wangu nimemzidi Na amenitongoza Na tunapendana
Nyie ndiyo aina ya watu wenye kujenga hofu na taharuki zisizo na msingi katika jamii bila sababu za kweli.Wanaume kamwe hawatongozi wanawake wenye status kubwa kuliko wao. Ndiyo maana huku kitaa wadada wakali sana huwa hawaolewi, ni kwasababu wanaogopwa na kila mwanaume.
Lkn hawa wenye sura kama wako msibani ndiyo hutongozwa na kila mwanaume. Kwasababu kila mwanaume anamuona mwanamke wa namna hii kuwa anammudu.
N.B. Anayekuheshimu haji kukutongoza moja kwa moja, bali hutuma mtu.
😅😅Mwanaume wako mwanafunzi wa chuo au🤣
Mbona Mimi siringi Na Naona kawaida tu. Ndoa zao huwa hazidumu... Mwanamke akiwa mzuri sana hugeuza sura yake kama fimbo ya kupachapia mme wake....
. Ndo maana hata ukienda kwenye madanguro utakuta wanawake wazuri tu...
Inawezekana ni kweli mimi wanawake wanaonisumbua ni hawa kina mwajuma kanda mbili ila wale mademu wakali wenye bussness zao ukitest tu.Wanaume kamwe hawatongozi wanawake wenye status kubwa kuliko wao. Ndiyo maana huku kitaa wadada wakali sana huwa hawaolewi, ni kwasababu wanaogopwa na kila mwanaume.
Lkn hawa wenye sura kama wako msibani ndiyo hutongozwa na kila mwanaume. Kwasababu kila mwanaume anamuona mwanamke wa namna hii kuwa anammudu.
N.B. Anayekuheshimu haji kukutongoza moja kwa moja, bali hutuma mtu.
Hahaha au sioWanaume kamwe hawatongozi wanawake wenye status kubwa kuliko wao. Ndiyo maana huku kitaa wadada wakali sana huwa hawaolewi, ni kwasababu wanaogopwa na kila mwanaume.
Lkn hawa wenye sura kama wako msibani ndiyo hutongozwa na kila mwanaume. Kwasababu kila mwanaume anamuona mwanamke wa namna hii kuwa anammudu.
N.B. Anayekuheshimu haji kukutongoza moja kwa moja, bali hutuma mtu.