Wanawake na kupenda wanaume wenye hela...

Wanawake na kupenda wanaume wenye hela...

Siku hizi naona kupewa gari na wanaume imekuwa issue kubwa.......kiasi kwamba kuna wakati hoja inajadiliwa mtu labda ana tatizo...mtu anaweka comment za ajabu kwamba wasichana wa siku hizi mnafuata hela na mnadanganywa na magari sijui nyumba na vitu kama hivyo.........ndo maana mnateseka............Au mtu umepata mwanaume mwenye uwezo watu wanakukatisha tamaa,mara hawajatulia,atakudharau mara sijui nini.......

Na wasichana tumekuwa tukijaribu kubisha hilo au kusema si wote.........

Nafikiri wote tunapenda maisha mazuri,hayaletwi na hela bali hela ni sehemu tu ya kuwa na maisha bora na yenye furaha.....

Nikiangalia dunia ya sasa,na hasa jamii inayonizunguka siioni tofauti ya kimatendo na kimaadili ya mwanaume mwenye hela na maskini......wanaume asilimia kubwa ni waongo na wanatoka nje ya ndoa na wengine wanashindwa hata kutimiza wajibu wao kama baba na kama mume.........mimi siamini kwamba ukiwa na hela kiasi au usipokuwa nazo inakufanya wewe uwe mwema sana au mwenye upendo wa kweli....

Nafikiri maisha ni kuchagua na bahati, mwanamke ukipata mwanaume mwenye hela nyingi manake hata mwenye mia mbili atasema anazo.... kama UNAMPENDA, mchunguze, chukua muda tafuta ufahamu wa kile anachokifanya kumpatia kipato...... ukimuona anakufaa nenda,ishi maisha yako,Sali,lea watoto wako na kuwa mvumilivu,zaidi jitahidi kuwa wa manufaa kwa jamii yako na wenye shida.

Ukiwezeshwa nawe kaza buti,jijenge,fanya kazi usiwe tegemezi.......na zaidi kuwa msaada kwa mumeo na furaha yake ili aendelee kufanikiwa zaidi na zaidi mkumbushe kuwasaidia wasio na uwezo.

i just cant get enough of this....
 
Ndio michelle nakupa tano kabisa maana siku hizi si wadada si wakaka wote macho juujuu tu kuangalia huyu ni nani na ana nini sio kuangalia huyu ana tabia gani personality ya mtu na kama anafaa kuwa mwenza. Binafsi pesa sio kigezo hata kama hatuna kitu tunaweza anza chini na kwenda juu as long as wote mna lengo moja na vigezo vyote vimezingatiwa
 
for sure ntakualika tena ile physically ila usijeonesha kuwa kuna wakati nilichanganywa na mmarangu.
My take: Wakati wa kunipongeza (most cases inahusisha kukumbatiana) usijiite Michelle manake ntajiskia vibaya.


Uwe na amani,ya JF yataishia hapa hapa sitayaleta kwenye furaha yako Marytina.....asante,nitafurahi kuhudhuria...
 
Michelle,its a very useful post dearest,.i like when women are independent,.sasa,may i ask dear,could you also say this to some men..because you see,these days there is also a good number of men rising to get the biggest cash,yani bila pesa haoni wewe ni wa maana and please wanaume hii dhana ya kuwa girls go for cash,at times mnajiwekea hivyo,hizi ishu za i have this,i have that punguzeni!
Pia kuna wale wenye pesa na kufikiri they own the world,wanafikiri wanaeza pata kila msichana kwenye macho yao,waache.
all in all kila mtu awe realistic likija swala la pesa,.money is not everything..

I agree with you Tracy,natamani kuwaambia hao wanaume wenye hizo tabia.....najua kama wako JF basi ujumbe wako umewafikia....duh,ila haipendezi eeeh....ni kweli money is not everything and it will never be everything.....watu wakielewa hili Tracy watafanya maamuzi yenye busara zaidi.......
 
Kwani hela lazima uzipate kupitia kwa mwanaume? si uzitafute mwenyewe????? kama una viungo vyote ambavyo mwanaume anavyo (kasoro baiolojia), kwa nini isitafute hela zako mwenyewe????

hakuna sehemu kwenye maelezo ya hii thread tumesema lazima uzipate kupitia wanaume.....huo ni ushamba,ushapitwa na wakati.....
 
ndio kwanza nimeingia lakini nimefall in love kweli na hii sredi ya michelle. acha nikae pembeni bikoz ofutopik iz striktly not allowed in zis sred.

aaaaaaaahhhhhh changia please,off topic but around the topic is allowed......:coffee:
 
bac kama ni hvyo PESA au HELA ndo inaletatzo hapo na ndo mana wanasema hakunaga upendo au love kwenye pesa hapa kunatatzo.

Unaonaje Murefu,we binafsi unafikiri kwenye pesa kuna love au hakuna??manake umesema unasikia,sasa wewe binafsi waonaje??
 
Wanawake wakiwa bao vyuoni wanakuwa na mitazamo ya kizushi na isiyo na ukweli halisi wa maisha yalivyo ndio maana wanaishia kwenye matatizo ya kujaribu kutafuta wanaume wenye minoti.Hivi tuwe wakweli....wanaume wangapi wanaweza kuhonga magari kwa wanawake zao???
 
Wanawake wakiwa bao vyuoni wanakuwa na mitazamo ya kizushi na isiyo na ukweli halisi wa maisha yalivyo ndio maana wanaishia kwenye matatizo ya kujaribu kutafuta wanaume wenye minoti.Hivi tuwe wakweli....wanaume wangapi wanaweza kuhonga magari kwa wanawake zao???

Kuhonga au kumpa mwanamke gari?? kuna tofauti ya kumpa mwanamke unayempenda gari na kumhonga ili upate penzi......
wenye uwezo wa kuhonga wachache.......
 
pesa ni matokeo na wadada hawana budi kukaa chini na kuhangaikia kutafuta pesa zao , lakini embu tazama mazungumzo meni ya kina dada,yanaegemea wapi .....pesa pesa hata wale wenye vipato siku izi mawazo yao ni kuchuna tu ...hawa wanaume unafikiri hawasikii wala kuelewa wanahitaji kupendwa nao lakini wengi wamekuwa na wasiwasi wakiamini inayopendwa ni mifuko yao

kina dada wanahitaji kubadilika na kujifunza kujitegemea sio ooh kila mara vocha,umeona gagulo zuri,mama anaumwa,offer ya bia na kitimoto hiyo mizinga ndio inayoponza

Well said, wanawake wajifunze kujitegemea sio kuwa tegemezi kila wakati. Wengi wa wanawake wanaolewa kwa opportunities and not love.
Wanaume mpo hapo!! Wengine wanaolewa sababu ni mtoto wa fulani sasa mapenzi hayo au kuzinguana mbele ya safari? Huo mtoto wa fulani ukiisha na mapenzi ndani ya nyumba kwishney!! Women have to learn how to be INDEPENDENT PERIOD na wanaume punguzeni kuhonga nendeni mkaendeleze vijijini kwenu. Ni ushauri msije mkanitoa meno
 
Well said, wanawake wajifunze kujitegemea sio kuwa tegemezi kila wakati. Wengi wa wanawake wanaolewa kwa opportunities and not love.
Wanaume mpo hapo!! Wengine wanaolewa sababu ni mtoto wa fulani sasa mapenzi hayo au kuzinguana mbele ya safari? Huo mtoto wa fulani ukiisha na mapenzi ndani ya nyumba kwishney!! Women have to learn how to be INDEPENDENT PERIOD na wanaume punguzeni kuhonga nendeni mkaendeleze vijijini kwenu. Ni ushauri msije mkanitoa meno

ha ha ha ha ha,wamekusikia Pakawa.....
 
Well said, wanawake wajifunze kujitegemea sio kuwa tegemezi kila wakati. Wengi wa wanawake wanaolewa kwa opportunities and not love.
Wanaume mpo hapo!! Wengine wanaolewa sababu ni mtoto wa fulani sasa mapenzi hayo au kuzinguana mbele ya safari? Huo mtoto wa fulani ukiisha na mapenzi ndani ya nyumba kwishney!! Women have to learn how to be INDEPENDENT PERIOD na wanaume punguzeni kuhonga nendeni mkaendeleze vijijini kwenu. Ni ushauri msije mkanitoa meno
dah! yaani naiheshimu hii sredi mpaka nimeshindwa kujibu hapo red.
 
Nimefurahi sana kuona mwana dada anaeleza ukweli wa maisha ya mahusiano, wewe unafaa kuwa mke hata kabla ya kukuona.
Lazima kila mwana dada ajue kwamba kuolewa na mwaume mwenye uwezo mdogo au mwenye uwezo mkubwa hakuna uhusiano wowote na kuwa na maisha yenye furaha kwenye ndoa. Furaha kwenye ndoa inajengwa na wanandoa wenyewe kwa kila mmoja kutimiza wajibu wake awe ni tajiri au masikini. Kama mwanadada umebahatika kupata mwanaume mwenye uwezo angalia moyo wako unasema nini then fanya maamuzi kama uliyempata anauwezo mdogo pia mshukuru mungu.
 
Nimefurahi sana kuona mwana dada anaeleza ukweli wa maisha ya mahusiano, wewe unafaa kuwa mke hata kabla ya kukuona.
Lazima kila mwana dada ajue kwamba kuolewa na mwaume mwenye uwezo mdogo au mwenye uwezo mkubwa hakuna uhusiano wowote na kuwa na maisha yenye furaha kwenye ndoa. Furaha kwenye ndoa inajengwa na wanandoa wenyewe kwa kila mmoja kutimiza wajibu wake awe ni tajiri au masikini. Kama mwanadada umebahatika kupata mwanaume mwenye uwezo angalia moyo wako unasema nini then fanya maamuzi kama uliyempata anauwezo mdogo pia mshukuru mungu.


Asante sana Vumbi....umefafanua vizuri....:coffee:
 
Siku hizi naona kupewa gari na wanaume imekuwa issue kubwa.......kiasi kwamba kuna wakati hoja inajadiliwa mtu labda ana tatizo...mtu anaweka comment za ajabu kwamba wasichana wa siku hizi mnafuata hela na mnadanganywa na magari sijui nyumba na vitu kama hivyo.........ndo maana mnateseka............Au mtu umepata mwanaume mwenye uwezo watu wanakukatisha tamaa,mara hawajatulia,atakudharau mara sijui nini.......

Na wasichana tumekuwa tukijaribu kubisha hilo au kusema si wote.........

Nafikiri wote tunapenda maisha mazuri,hayaletwi na hela bali hela ni sehemu tu ya kuwa na maisha bora na yenye furaha.....

Nikiangalia dunia ya sasa,na hasa jamii inayonizunguka siioni tofauti ya kimatendo na kimaadili ya mwanaume mwenye hela na maskini......wanaume asilimia kubwa ni waongo na wanatoka nje ya ndoa na wengine wanashindwa hata kutimiza wajibu wao kama baba na kama mume.........mimi siamini kwamba ukiwa na hela kiasi au usipokuwa nazo inakufanya wewe uwe mwema sana au mwenye upendo wa kweli....

Nafikiri maisha ni kuchagua na bahati, mwanamke ukipata mwanaume mwenye hela nyingi manake hata mwenye mia mbili atasema anazo.... kama UNAMPENDA, mchunguze, chukua muda tafuta ufahamu wa kile anachokifanya kumpatia kipato...... ukimuona anakufaa nenda,ishi maisha yako,Sali,lea watoto wako na kuwa mvumilivu,zaidi jitahidi kuwa wa manufaa kwa jamii yako na wenye shida.

Ukiwezeshwa nawe kaza buti,jijenge,fanya kazi usiwe tegemezi.......na zaidi kuwa msaada kwa mumeo na furaha yake ili aendelee kufanikiwa zaidi na zaidi mkumbushe kuwasaidia wasio na uwezo.

That's what's up sis. Wengi tunatawaliwa na tamaa, wanaume kwa wanawake, ukiweza kuishinda tamaa na kufanya kazi kwa mipango utaondoa matatizo mengi sana.
 
That's what's up sis. Wengi tunatawaliwa na tamaa, wanaume kwa wanawake, ukiweza kuishinda tamaa na kufanya kazi kwa mipango utaondoa matatizo mengi sana.

Nakubaliana na wewe Kiranga.....huu utegemezi unatugharimu sana.....:coffee:
 
Back
Top Bottom