cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Labda wateja wao ni panya road.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Labda wateja wao ni panya road.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahNoma sana!
Nakumbuka mwaka jana nilimtembelea rafiki yangu Buza,kuna ukumbi ukitoa buku unachovya kidole kimoja..elfu kumi unachovya vidole kumi mpaka mkono unaloa
Tuandamane tu kupinga hao warembo kukamatwa, tushinikize waliokata uno na kucheza sarakasi bungeni hao ndio wakamatwe maana wanatumia vibaya kodi zetu.Mbna bungeni wanakata viuno na kuruka sarakasi, hii serikali vipi kwan?
Kweli mkuu kwanza wamevunja sheria gani?,jeshi la police linafanya kazi kimihemko, mfano mwingine ni wa Ashura na yule Diwani ule ulikua ni unafiki wa police, sheria gani imevunjwa pale?,je kulikua na docket police?Hii nchi imekuwa sio huru tena yaani mtu akate viuno akamatwe ila wanaoiba wanatesa uraiani