Wanawake na maradhi ya urembo inasikitisha sana

Wanawake na maradhi ya urembo inasikitisha sana

hiyo saluni ya uchochoroni sana wanatumia super glue ..ni hatari sana...hata hivo hizi kope sio kabisa kuanzia kuweka hadi kutoa ni matatizo ..mi nilishaapa sitaweka teeeena vitu hivi!!

Ukienda salon iwe ya uswahilini au iwe ya kishua usikubali kufanyiwa huduma yoyote bila ya kumuhoji staff anayetaka kukuhudumia kuhusiana na huduma unayotaka kufanyiwa (kuwa mtu wa kuhoji kwani urembo ni gharama na usipokuwa makini utajikuta unapata matatizo kama ya huyu dada)
By the way usithubutu kuwekwa kope chini ya kope yako original bali kope fake inawekwa juu ya kope yako original
 
I like natural beauty. ninapowaona waliojiremba hayo mavitu huwa nawaona kama katuni/sanamu vile. wacha watu wanione mimi ni old school lakini uzuri wa dukani siupendi na una gharama zake za kiafya. hii ni mojawapo.
 
Pole yake.....Ah mim na hayo mavitu mbalimbali...

Hapana usifanye hivyo…huyu dada yetu alikosea tu njia na akapita njia yenye simba 100 alafu wenye jaa kali.
Ukitaka kuweka kope tafuta salon mzuri na yenye kufanya beauty clinic iliyo bora na siyo bora huduma
 
Pole sana. Wala simlaum ni urembo kama ulivyo urembo mwingine.
 
Pole sana. Wala simlaum ni urembo kama ulivyo urembo mwingine.

Ni sawa usemacho…hata mimi nasema ni bahati mbaya. Lakini pia na hawa dada zetu watizame ni sehemu gani au salon gani ya kwenda na kupata huduma stahiki! vinginevyo utajikuta unaangukia kwenye majanga kama haya.
 
Ukienda salon iwe ya uswahilini au iwe ya kishua usikubali kufanyiwa huduma yoyote bila ya kumuhoji staff anayetaka kukuhudumia kuhusiana na huduma unayotaka kufanyiwa (kuwa mtu wa kuhoji kwani urembo ni gharama na usipokuwa makini utajikuta unapata matatizo kama ya huyu dada)
By the way usithubutu kuwekwa kope chini ya kope yako original bali kope fake inawekwa juu ya kope yako original

Wabongo kope wamezijulia wapi
 
najivunia kuwa na mpenzi asiyeendekeza huu upuuzi,..
 
Hapana usifanye hivyo…huyu dada yetu alikosea tu njia na akapita njia yenye simba 100 alafu wenye jaa kali.
Ukitaka kuweka kope tafuta salon mzuri na yenye kufanya beauty clinic iliyo bora na siyo bora huduma

KiuKweli uwa najishangaa mimi kope..wanja..lipstic...poda..kucha yani make up yoyote sinaga na situmii..
.
Labda kama nitakuja kubadilika uko mbeleni..
 
Wabongo kope wamezijulia wapi
Wengine wamejifunza kupitia kwenye salon za kiprofesional,wengine wamesomea kwenye vyuo vya urembo vilivyopo hapa Dar…na sasa kuna baadhi ya wamarekani weusi(wadada) wametokea marekani na wanazunguka kwenye salon kubwa kubwa na wanafundisha jinsi ya kuweka kope na vitu kama hivyo.
 
Bado wapaka asali kwenye k ngoja zifunge sijui wataishije mjini

Kwi kwi kwi.....
Tumekusikia...mie asali napaka hadi kwenye nywele kama steaming inanisaidia sana kwa nywele zangu kuwa laini zenye afya na zenye mng, aro.
 
Kuwa natural raha sana hawajui tu
.

umeniona mi nilivyo natural hapo kwenye avatar? weka yako nikuone mkuu! teh teh teh. wadada wote wangejikubali vile walivyo wangeepuka matatizo na gharama zisizo za lazima. keep it up Smile
 
Kwi kwi kwi.....
Tumekusikia...mie asali napaka hadi kwenye nywele kama steaming inanisaidia sana kwa nywele zangu kuwa laini zenye afya na zenye mng, aro.
Ni kweli asali ni dawa ya nywele pia. Lakini je unachanganya na nini kabla ya kuiapry kichwani? Na je ni ya nyuki wakubwa au wadogo?
 
Back
Top Bottom