Wanawake na maradhi ya urembo inasikitisha sana

Kwani Unioni hapo

mmmh, labda macho yangu vidonda. naona giza giza tu. anyway, sijala mboga za majani kama siku 4 hivi. nilikuwa nakula nyama na maharage tu
 
Mbonaa cjawahii ona wazunguu amaa mamiss duniaa wakiwekaa ayoo mauchafuu kaah yani wanavyoo niboaga basi tuu kwelii tz inajanga laa elimuu diii?
 
Mbonaa cjawahii ona wazunguu amaa mamiss duniaa wakiwekaa ayoo mauchafuu kaah yani wanavyoo niboaga basi tuu kwelii tz inajanga laa elimuu diii?

Mkuu, urembo ulianzia kwa hao watu (wazungu na waAsia) kama vile ambavyo dini zimeanzia kwao.
Sisi huku tumeletewa,tumelishwa na tunauwendeleza. Hata hao maMiss world wanaweka sana kope.

By the way urembo ni kama maji(haukwepeki)usipoyanywa basi utayafulia,na usipoyafulia basi utayaoga.
 
Mkuu uzuri unazaliwanao,ila urembo na usafi wa mwili unajipa mwenyewe
 

Attachments

  • image.jpg
    461.2 KB · Views: 118
  • image.jpg
    522.8 KB · Views: 114
Haya wadada wa MMU,...mambo ndiyo kama hayo mnavyoyaona...amini nawaambieni urembo umuweka mwanamke juu.
 

Attachments

  • image.jpg
    742.6 KB · Views: 98
  • image.jpg
    628 KB · Views: 109
  • image.jpg
    431.3 KB · Views: 105
wanawake wana uthubutu wa ajabu

Kubandika bandika mpaka machoni
 
Dah binti mzuri kaenda kujiharibu.
 
Mbonaa cjawahii ona wazunguu amaa mamiss duniaa wakiwekaa ayoo mauchafuu kaah yani wanavyoo niboaga basi tuu kwelii tz inajanga laa elimuu diii?
wazungu ndio waaanzilishi, tatizio sio urembo, tatizo ni ubora wa madawa yetu tunayotumia, elimu ya hao wadada wa saluni, na unayeenda kuweka urembo kujua kama una allergy yoyote. Hivyo vitatu vikizingatiwa hakuna tatizo kabisaaaa....
 
Huo ni ukweli usopingika...mama yangu anakaribia 70 na anasuka rasta; mi ndio niufanyie sherehe uzee...mwanamke urembo...; natural Bongo na kipilipili...

Sijawahi weka kope lakini nina mpango huo; zikinitoa chicha basi si vibaya kubadilika siku moja moja...; siyo mpaka watu wanakukremu




Haya wadada wa MMU,...mambo ndiyo kama hayo mnavyoyaona...amini nawaambieni urembo umuweka mwanamke juu.
 
Ahsante! Umeongea kitu cha muhimu sana...thatz why hata mimi nawasisitiza dada zangu wa MMU au mtu yeyote yule anaependa mambo ya urembo kuwa aendapo kufata huduma yoyote salon ajitahidi awe mtu wa kuhoji kabla hajafanyiwa huduma...uwapo salon usiruhusu mwili wako uwe wa majaribio kama vile wewe ni mdoli.

Pia katika huduma za salon hakuna kitengo ambacho mastaff wake wanatakiwa kuwa very serious kama kitengo cha beauty clinic. Kitengo hichi ndiyo kinabeba huduma za Kope,Detoxification,face facial,waxing nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…