Wanawake na msemo wa "chako changu, changu changu"

Wanawake na msemo wa "chako changu, changu changu"

Habari wakuu!

Siku hz unakuta wanasema haki sawa ktk njanja zote. Sasa ktk familia unakuta mwanaume ana kazi isiyo ya kudumu yan tenda na mke amebahatika kupata kakazi ka maana lakn utakuta mwanamke anaomba hela ya matumizi kwa mumewe wakat anajua kwamba hana hela sometimes na akinyimwa lawama nyingi.

Kwa upande wangu ni kwamba zaman kdg ilikua ni kwasabab mwanamke hana kaz lakini ck hz lijit lina kaz bd utaskia, 'naomba pesa ya kusuka.'

Na anajua mumewe hana hiyo pesa, yani mwanaume apambane kula ya familia,apambane kusomesha watoto, apambane kuwapa mahitaj muhimu bado ampe m2 hela ya kusuka wkt yeye ana hy hela.

Duuh iv hz pesa zao huenda wapi? Huu ni mtazamo wangu. Nawasilisha?
๐Ÿฅน๐Ÿฅนlijitu
 
Back
Top Bottom