Babe kumbe mbahili๐ ๐ ๐D
Daaah mkuu umeamua umuite babe wangu aje asomee hii au sioo๐ ๐ ๐ ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babe kumbe mbahili๐ ๐ ๐D
Daaah mkuu umeamua umuite babe wangu aje asomee hii au sioo๐ ๐ ๐ ๐
๐ฅน๐ฅนlijituHabari wakuu!
Siku hz unakuta wanasema haki sawa ktk njanja zote. Sasa ktk familia unakuta mwanaume ana kazi isiyo ya kudumu yan tenda na mke amebahatika kupata kakazi ka maana lakn utakuta mwanamke anaomba hela ya matumizi kwa mumewe wakat anajua kwamba hana hela sometimes na akinyimwa lawama nyingi.
Kwa upande wangu ni kwamba zaman kdg ilikua ni kwasabab mwanamke hana kaz lakini ck hz lijit lina kaz bd utaskia, 'naomba pesa ya kusuka.'
Na anajua mumewe hana hiyo pesa, yani mwanaume apambane kula ya familia,apambane kusomesha watoto, apambane kuwapa mahitaj muhimu bado ampe m2 hela ya kusuka wkt yeye ana hy hela.
Duuh iv hz pesa zao huenda wapi? Huu ni mtazamo wangu. Nawasilisha?
Amna mh kwa maelezo ayoNgoja tusubiriee
Siwezi kuwa mbahilinkwa mtu nimependae babe ๐๐๐๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃSio wewe babe hii post ni ya zamani sanaa
Nimekuamini babe๐Babe niamini basii!!
I miss you ๐๐Babe unancheka sioo??๐๐
Napenda mwanaume wa kubembeleza iviBabe niamini basii!!
Sawa love โค๏ธNgoja nije pm baadae au unasemaje my sweery