Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
- Thread starter
-
- #21
Yaani niende saluni nawaza kumvuta mtu?
Chaaa hapana labda hao wa kwako
Mie napenda niwe smart inanipa ujasiri hata kwenye mihangaiko yangu
[emoji3][emoji3][emoji3]hii ndo itakua sabbu ya kwann hamzipendiUko unachezea nywele Za mwanamke unangoja alainike, Kumbe unachezea wigi! [emoji23][emoji23][emoji23]
Utakuwa jasiri zaidi ukibaki natural
Hata Mimi nimeliona 👆👆👆👆👆👆Povu kama lote
Wewe nina shaka hata kope zako bandiaUnipangie nibakije?
Kwa sababu gani?
Nikiwa artificial unatesekaje?
usisemee wenzio mkuu wapo ME wanaopenda hizo nywele za marehemu
Hzhahahaha,broo,..this is pain in di as.sUko unachezea nywele Za mwanamke unangoja alainike, Kumbe unachezea wigi! [emoji23][emoji23][emoji23]
weee hebu tuache na ndevu zetu, heshima ya mwanaume.... nyie zenu za bandia sio dili baby shemHiiiiii....tunavaa kujivutia wenyewe,.nyie mnavofuga midevu yenu kama Osama bin Laden mnawavutia nani??
ni kweliWachache sana
Wewe unapenda nywele bandia ?Sema wewe huvutiwi usiseme sisi
Ulipogusia ufugaji wa ndevuHiiiiii....tunavaa kujivutia wenyewe,.nyie mnavofuga midevu yenu kama Osama bin Laden mnawavutia nani??
Kuna tatizo kwenye uwasilishaji, kuna sehemu unasema "wanaume tunachukia" halafu unasema tena "asilimia kubwa ya wanaume".Natamani wanawake wangefahamu kuwa katika vitu ambavyo wanaume tunachukia kutika kwao ni nywele bandia, asilimia kubwa ya wanaume huvutiwa na nywele asili
Ikiwa sisi hatuvutiwi na miwigi yenu mwavaa kumvutia nani?
MkuuUnipangie nibakije?
Kwa sababu gani?
Nikiwa artificial unatesekaje?
Nauliza tena, hamvutiwi na nani!?Urembo wa mwanamke ni kuvuta wanaume sasa mjue hatuvutiwi nywele za maiti wala nywele za mkonge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sio vizuri jamanPindi network inapokata halafu wanaanza kugonga kichwa mpaka irudi
Huwa natamani niwape rungu kabisa
Mkuu
hivi kwanin successful women wengi wana nywele fupi ?