Wanawake na nywele bandia

Mbona mnatoa pesa kununulia hayo mawigi kama kweli hamyapendi?
 
Shida yangu pale zinapoanza kuwasha utakuta mwanadada ameingiza kidole anakuna kichwa kanogewa hadi kajisahau. Kwa muonekano wa kiafrika unavutia zaidi wa asili. Mungu alivyowaumba alikuwa anajua . Be proud of yourself .Alinifurahisha sana Mseven alivyomchana Miss Uganda kuhusiana na zile nywele fake.
 
Natamani wanawake wangefahamu kuwa katika vitu ambavyo Asilimia kubwa ya wanaume tunachukia kutoka kwao ni nywele bandia, asilimia kubwa ya wanaume huvutiwa na nywele asili
Ikiwa sisi hatuvutiwi na miwigi yenu mwavaa kumvutia nani?
Mkuu kwni siku izi mnatombea kichwani au kumani nako kuna maweagi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…