Utafiti unaonesha kuwa wanawake hasa huvaa ghali kwa ajili ya wanawake wenzao, kuwarusha roho au wamuone kuwa yuko juu. Ndio maana wanaume hatujui fashiona za wanawake wala bei ya mavazi yao, bali wanawake wao kwa wao ndio wanao juana. Kwa swala la Nywele bandio hilo ni la kweli kabisa, labda niwaambe wanawake acheni kutoa mapovu, ukweli ni huo kuwa wanaume wengi hatupendi hizo mabo, Pia thamani yenu hushuka na kuonekana haujitambui. Angalau uwe na msambwanda wa maana kidogo ina balance na tutavumilia karaha za veaving kwa ajili ya hilo zigo tu. Sasa unakuka kamdada hakana matako, kiona kama mgomba miguu kama chelewa, sasa angalia kichani kamebeba zio la matakataka ya bandia mpaka kanakua na shepu ya Mwamvuli. Huwa mnatukera sana ggggghhhhhh