Wanawake na promise zao

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usumbufu++++
Hahah!! Ukute hapo mkongo unahusika kwenye viungo vya mwili ndio basi tena
 
Hahah!! Ukute hapo mkongo unahusika kwenye viungo vya mwili ndio basi tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji23], Yaani unaishia kunawa tu kula huli. Aisee!
 
Appointment
12:00 nakuja
13:20 ndio naoga
15:50 navaa nguo
17:40 ndio natoka
18:30 nipo kwenye bajaji
19:20 babe sitakuja Mama ameniambia niwapikie wageni wanakuja....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


mungu anawaona !!
MKUU YAMEKUKUTA NINI?? USINIAMBIE TUPO WENGI KUMBE
 
Appointment
12:00 nakuja
13:20 ndio naoga
15:50 navaa nguo
17:40 ndio natoka
18:30 nipo kwenye bajaji
19:20 babe sitakuja Mama ameniambia niwapikie wageni wanakuja....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


mungu anawaona !!
Unamaanisha wanawake wa Tz pekee.
Wale wa nje ya nchi ahadi kama ni 18:00, basi atafika 17:20 kwenye meeting point.

Nilikuwa najikuta kila siku mimi ndiyo mchelewaji kwenye promise zetu.

"Waafrika hatuzingatii muda linapokuja suala la ahadi"
Hii ndiyi ilikuwa kauli yake kila tukikutana.

Dah!
 
Appointment
12:00 nakuja
13:20 ndio naoga
15:50 navaa nguo
17:40 ndio natoka
18:30 nipo kwenye bajaji
19:20 babe sitakuja Mama ameniambia niwapikie wageni wanakuja....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


mungu anawaona !!
Pole mkuu kwa yaliokukuta [emoji23][emoji23]
 
Umeshaanza kunikera asubuhi asubuhi, hivi kwenye jambo kama hili lisilo na Kichwa wala miguu, unapata wapi Ujasiri wa kukitaja Jina la MUNGU?.
itakua hajamaanisha Mungu huyu tunaye mwabudu maana ata alivyoiandika ni ya miungu mingine...so usipate tabu naye
 
hapo unakuta ushajipigilia MUKU ama dasta Congo alafu timu pinzani imeghairisha mchezo, hapo ndio utaijua nguvu ya Kitumbua
 
Hii kuanzia wale mademu wa miaka 17-23 hivi wanakuwaga na hizi na nna uzoefu wa kukutana na promise kama hizi
 
Umeonaeee. Na hiyo saa 12 anayosema sijui mama yake kamwambia apikie wageni utakuta ndio anarudi home kwao.
Kabisa.....Mara ingine mama anatumikaga kama gia ya kukuzima mazima, manake anauhakika huwezi ku-urgue naye tena ukishaambiwa mambo ya mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…