Queenever1
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 422
- 815
ni vizuri ila mi siweziMimi huwa najizuia sana kuandika meseji nikiwa nimechukia, maana nikichukia maneno yangu nayajua mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni vizuri ila mi siweziMimi huwa najizuia sana kuandika meseji nikiwa nimechukia, maana nikichukia maneno yangu nayajua mwenyewe
Kwa hiyo hamuoni kama kuandika message kwa ufupi kunaweza sababisha kutokuwepo na maelewano katika usomaji kwa mlengwani vizuri ila mi siwezi
Kumbe upendo na hisia za kweli za msichana zinadhihirishwa kwa kuandika message ndefu je kama aliyekupenda hajui kuandika messageTukikufeel tutaandika na pia kuimba ngonjera.
The opposite applies too.[emoji16][emoji16]
Atatafuta njia ingineKumbe upendo na hisia za kweli za msichana zinadhihirishwa kwa kuandika message ndefu je kama aliyekupenda hajui kuandika message
Ndo mmeanza kuandika kifupi hadi hapa
Embu niandikie niamini.Mi naandika sana msg kuliko kuongea,, tena niwe naexpress feelings zangu au nimechukia,msg ya watsap utafungua more hata mara tano, na naandika kwa muda mfupi
Mimi nashindwa kuandika meseji ndefu jamani [emoji16][emoji16]
Chat na kuongea mmh Ila chatting is more fun bana mi huwa nafikiria na kuandika madini pale ninapochat kuliko ninapo ongeaMiee siwez kuchat kabisaaah, ni heri tuongeeeh tyuuh,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mimi siandiki k, p n.k lakini siwezi kuandika meseji ndefu labda iwe ya povuUnaongea kifupi pia?
DuuhMimi siandiki k, p n.k lakini siwezi kuandika meseji ndefu labda iwe ya povu
Swez kabisaaa kuchat, kuongea n sawaah.Chat na kuongea mmh Ila chatting is more fun bana mi huwa nafikiria na kuandika madini pale ninapochat kuliko ninapo ongea
Ooh yeah sometimes ni hobby ya MTU Ila nakumbuka class enzi hizo wasichana ndo walikuwa wanamaliza notisi za walimu darasani Ila now days hata Kuandika sms hawawezi[emoji23][emoji23]Swez kabisaaa kuchat, kuongea n sawaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeeh san lolOoh yeah sometimes ni hobby ya MTU Ila nakumbuka class enzi hizo wasichana ndo walikuwa wanamaliza notisi za walimu darasani Ila now days hata Kuandika sms hawawezi[emoji23][emoji23]