Pre GE2025 Wanawake na Uongozi 2025

Pre GE2025 Wanawake na Uongozi 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nihifadhi Abdulla

New Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
1
Reaction score
0
Katika kuhakikisha mwanamke hapati vikwazo Kuna sheria ya uchaguzi inavyomlinda mwanamke sheria ya uchaguzi ya Zanzibar no. 4 ya mwaka 2018 na sera ya jinsia na ushirikishwaji wa jamii ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar iliyoanzishwa mwaka 2015.

Je, uwepo wa Sera na Sheria hii utatoa mwanya kwa wanawake kufikia usawa wa 50/50 kwenye uongozi?
 
Vipii kwanza huyu aliyepewa dhamanaa ya ngazi za juu amefanyaa chcht mpk ss😄😄😄
FB_IMG_1724330690583.jpg
 
Back
Top Bottom