Wanawake na UREMBO WA NYWELE.....!

Wanawake na UREMBO WA NYWELE.....!

Mtambuzi

Platinum Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
8,809
Reaction score
15,421
50dc63e8d0a88ac041b73dad3ef317c7.jpg


1.

4bc15b1e79d6378733167cc218033378.jpg


2

c3f5a43be155fab6a1a04d9f5daadb3f.jpg


3

37bbc79c7d0d4b92550811cb837e6993.jpg


4

ece5d7b3be5980efa9c401996e25aada.jpg


5

bang-hairstyles-for-black-women-354.jpg


6

35eeebce17d0f7a7dcc7234b0eab6413.jpg


7

glamorous-braided-hairstyles-weave-and-braid-hairstyles-inspirations-436x657.jpg


8

135530270006251379UF1hN2dwc.jpg


9

5bg.jpg


10. Huu unaitwa INAHUU

shutterstock_159160601.jpg


11. Huu mtindo nimemabiwa eti unaitwa utajiju

afro.jpg


12

Top-100-Hairstyles-for-Black-Women_009.jpg


13. Nimeambiwa kwamba huu mtindo unaitwa staki mashauzi

mohawk_hairstyles_for_black_women_with_braids1.jpg


14
 
Style nzuri ila sasa mi mvivu kweli wa kusuka.
Nimependa kadhaa hapo.
 
Namba 8 ni NOOOOOO. Kisa cha kuingia kichaa nikichana?
 
mmh sasa mim kituko kilichopo huku kichwan ni hatar hatar tupu
 
Mie napenda hiyo ya rihanna na halle berry natamaniii nikate hadi ziwe size hiyo ila mekatazwa lol..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Wanawake wazuri nywele hadi sura na wale wa avatar pakue hizi picha mzitumie sasa
 
Mwaya sio mirija. Hii ni natural. Kichaa pale pale. Cheki hizo ends ----mae. Nafyeka zote.

Basi nimetazamia kengeza, hv mirija haikati nywele??

Natural labda ziwe zile za asili ya singa ila hizi nyingine kuchana machozi yanatoka
 
Mie napenda hiyo ya rihanna na halle berry natamaniii nikate hadi ziwe size hiyo ila mekatazwa lol..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

kuuliza sio ujinga eti Rihanna ndo yupi namsikia tu redioni.......
 
Watudanganya,umependa hayo macho

Ukisikia ukorofi ndiyo huu ha ha haaaaa!! Mi nimesema nimependa nywele wewe unaniambia nimependa macho!! Hebu ngoja nimwangalie tena na tena nitajua tu kati ya nywele na macho kipi zaidi!!
 
Back
Top Bottom