Wanawake na vijana wajiandaa kunufaika na uwekezaji wa bilioni 74.8

Wanawake na vijana wajiandaa kunufaika na uwekezaji wa bilioni 74.8

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Kutokana na ujio wa Makamu wa Rais wa Marekani amesema Kampunu ya IRVINE itawekeza Tsh Bilioni 74.8 kwenye ufugaji wa kuku nchini

Uwekezaji huu utawezesha kuhakikishwa kwa Usalama wa Chakula, kuongeza upatikanaji wa uhakika wa Kuku bora katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, pamoja na kutengeneza fursa ya kipato kwa maelfu ya wafugaji wa Kitanzania, wengi wao wakiwa ni Wanawake na Vijana

Lakini pia kutakuwa na uzalishaji mkubwa wa vifaranga pamoja na kuanzisha Kiwanda cha kuzalisha chakula cha Mifugo. Shughuli hizi zitafanyika kwa kutumia Teknolojia ya kisasa pamoja na Wafanyakazi wenye ujuzi, Wanasayansi wa Mifugo, Wataalamu wa Lishe, Madaktari wa Mifugo, Wataalamu wa Maabara na Wafanyakazi wa kada nyingine za Kitaalamu.

Watanzani atunasema hongera sana Rais Samia Suluhu kwa kumarisha diplomasia ya uchumi pamoja na kurekebisha sera ya uwekezaji nchini
 
kwenye hizo bilioni 74 toa bilioni 49 za wapigaji zitabaki bilioni 25, sasa hzi 25 ndo zinaweza kuingia kwenye uwekezaji wa vyuku.

kuiba mahela mengi hakuitaji calculus au schrodinger equation ni kujumlisha na kutoa tu.
 
Kutokana na ujio wa Makamu wa Rais wa Marekani amesema Kampunu ya IRVINE itawekeza Tsh Bilioni 74.8 kwenye ufugaji wa kuku nchini

Uwekezaji huu utawezesha kuhakikishwa kwa Usalama wa Chakula, kuongeza upatikanaji wa uhakika wa Kuku bora katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, pamoja na kutengeneza fursa ya kipato kwa maelfu ya wafugaji wa Kitanzania, wengi wao wakiwa ni Wanawake na Vijana

Lakini pia kutakuwa na uzalishaji mkubwa wa vifaranga pamoja na kuanzisha Kiwanda cha kuzalisha chakula cha Mifugo. Shughuli hizi zitafanyika kwa kutumia Teknolojia ya kisasa pamoja na Wafanyakazi wenye ujuzi, Wanasayansi wa Mifugo, Wataalamu wa Lishe, Madaktari wa Mifugo, Wataalamu wa Maabara na Wafanyakazi wa kada nyingine za Kitaalamu.

Watanzani atunasema hongera sana Rais Samia Suluhu kwa kumarisha diplomasia ya uchumi pamoja na kurekebisha sera ya uwekezaji nchini

Acheni utapeli wa kijinga.
 
Kutokana na ujio wa Makamu wa Rais wa Marekani amesema Kampunu ya IRVINE itawekeza Tsh Bilioni 74.8 kwenye ufugaji wa kuku nchini

Uwekezaji huu utawezesha kuhakikishwa kwa Usalama wa Chakula, kuongeza upatikanaji wa uhakika wa Kuku bora katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, pamoja na kutengeneza fursa ya kipato kwa maelfu ya wafugaji wa Kitanzania, wengi wao wakiwa ni Wanawake na Vijana

Lakini pia kutakuwa na uzalishaji mkubwa wa vifaranga pamoja na kuanzisha Kiwanda cha kuzalisha chakula cha Mifugo. Shughuli hizi zitafanyika kwa kutumia Teknolojia ya kisasa pamoja na Wafanyakazi wenye ujuzi, Wanasayansi wa Mifugo, Wataalamu wa Lishe, Madaktari wa Mifugo, Wataalamu wa Maabara na Wafanyakazi wa kada nyingine za Kitaalamu.

Watanzani atunasema hongera sana Rais Samia Suluhu kwa kumarisha diplomasia ya uchumi pamoja na kurekebisha sera ya uwekezaji nchini
Mpango wa kutuua tusizae kabisa.
Kwani ameambiwa shida yetu sisi ni kuku?
Kwani tunataka kula kuku kila siku.
Kuku tulionao wanatutosha.
Shida yetu umeme, maji na hospitali

Yaani wanatafuta kila mbinu za kutujaza kemikali wakati huko kwao wanakula organic foods.
 
Hao kuku ndio wataongeza vichocheo kwenye miili ya watoto wa kiume wahitaji zaidi kuingiliwa kuliko kuingilia, tujiandae kisaikolojia.
 
Back
Top Bottom