Wanawake na Wanawake wa Tanga fanyeni kazi,acheni umalaya uliokithiri

Nimekuuliza umeshaacha kazi yako ya kujiuza na kufanya umalaya au bado unasaka Bwana?
Ndio nmekuuliza unataka kuja field? Au kujitolea?? Wahi nafasi ni chache my wangu.
 
Unasema wanaliwa sana, na ukawaita Malaya. Vipi na Wewe uliyewala sana tukuite nani?
 
Bahati yako hujaitaja Lushoto na Korogwe. Ningekugeuza msukule sasa hivi.
 
Mikoa ya pwani type za jamii za huko sio kichapa kazi, ni jamii zilizo ridhika na maisha, watu wa vibarazani ngoma bata. Wanaokuja kuchangamsha hiyo mikoa ni wageni
 
Saizi ni wote sio wa Tanga tuu,mbaya zaidi kizazi Cha Sasa hakitaki kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…