Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi nachukua najifanya nimependa .. halafu nauzahata wewe?? basi tena..
fashion ya kipuuzi hiyoHuyu kijana huwa namuona na kidoti amekaa kma mchicha mwiba ......au ni fashioniii
tshirt zenu tunavalisha mto usiku tunakumbatia na kuassume we ndiyo mtoAisee hako katabia wanako mpaka kwenye T-shirt.. Yaani my gal haishi kuchukua t-shirt zangu. Nafkir wana ka malephobia now days.
Sijaelewa, saa za kiume? Zina dushe???Mie sioni tatizo sio saa zote kubwa ni za kiume
Akishaivaa siku nzima na wewe huivaa tena?Mimi Binafsi napenda na huwa nasimamisha sana dushe pale nimuonapo mpenz wangu kavaa nguo zangu,hata kwa kutest tu kiutani utani.
Mfano: Unakuta dem kaja gheto halafu anatest vest yangu huku boobs zake zikiwa out...au anavaa boxer yangu siku nzima.
INAVUTIA KWAKWELI.
Nitavaa nyingine.Akishaivaa siku nzima na wewe huivaa tena?
Aisee kumbe.. Ngoja nifanye doria siku moja ole wake..!tshirt zenu tunavalisha mto usiku tunakumbatia na kuassume we ndiyo mto
Hugongeagi saa ya daddy na singlet zake?'wanaume' here they go!!
Hehehe.. Kwa maisha ya sasa kama huyo Dada hajakopa hivo vitu, basi kageuzwa upande BDaah Saa Zetu Zinawapendeza Sana kina Dada,Usithubutu kukutana na Binti kapigilia Silver Moja kali ya Kiumeni ya Mia kama Tatu mpka Tano hivi,chini ana Simple ya utiki akiwa ndan ya jeans OG na Top,Tshirt or Blouze flan amaizing halafu awe Mashaalah,Balaaa..Lazima Ugeuke ucheki Yaliyomo!