Wanawake ndio sababu ya vijana kupenda kulelewa na Mashangazi

Hii wiki lazima unyooke mtoto uso na haya🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Kwanini mnatuonea hvi kwa mada zenu za ajabu ajbu...
Lawama za nini wakati mungu ashatubaliki sasa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Kwanini mnatuonea hvi kwa mada zenu za ajabu ajbu...
Lawama za nini wakati mungu ashatubaliki sasa
Mna laana nyie!
 
Yan ww hujui kuwa ni jukumu lako kupambana mpaka umpate wa kukumotivate upambane!!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ukikua utaelewa sa hivi naona bado !
 
Yan ww hujui kuwa ni jukumu lako kupambana mpaka umpate wa kukumotivate upambane!!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ukikua utaelewa sa hivi naona bado !
Nimesema baafhi ya vijana
 
Huu uzi mbona km unajisimanga mwenyewe mdogo wangu Mwachi 😹😹😹
 
Mishangazi tunajua kudekeza kitandani hadi mzee anaweza asilale ovyo, unapewa kila kitu hakuna cha kubakisha hadi ushibe mwenyewe
 
Kwani kuna shida gani tukiwaachia wazee vibinti wa buku be na sisi tukalelewa na mishangazi, kwani hujui kula hela ya mwanamke ni raha?

Nb. Itakua mishangazi inakutosa kaoshe nyota mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…