Wanawake ndo tunasababisha waume zetu kutoka nje.



Kwa nini unanilazimisha niandike kile unachotaka niandike??
Sasa nakuwa mbishi, mimi sitaki SEX.
 

Big up Lizzy, kula tano, hii imetulia, laiti ladies wamgejua haya
 
Kwa nini unanilazimisha niandike kile unachotaka niandike??
Sasa nakuwa mbishi, mimi sitaki SEX.
Hapo kwenye red honey, hayo mambo usiweke hadharani bana..........mwenzio niko very embarrassed mbele ya washkaji....Siku nyingine ni-PM sawa eeeh?? Leo nakusamehe mwaya.
 

Nakuunga mkono Mamushka, maana hamu ya mwanaume kufanya mapenzi huchangiwa na vitu vingi, hivyo prior treatment ina mata sana, huwezi kumkwaza mwenzio kila siku halafu unamwambia mimi napenda kusex basi na yeye atakudu tu, utakaa na mapenzi yako ya kudu bila kuduiwa, mi naona cha msimgi ni kuwa marafiki ili kila mtu azungumzie majitaji yake kwa mwenzie, na kuweka wazi kero zenu, vinginevyo utafikiri mwenzio anapenda hiyo kitu sana kumbe anakusimulia kwa wenzie kwamba huridhiki, au haujasikia kuna wanaume wanawakimbia wanawake kwa sababu wanapenda sana sex?
 
Kwani sex ndo inamzuia mwanaume kutoka? Je kama hafurahii hiyo sex?
 
not enough una hidden agenda wewe!
umekuja kutaka PM za kaka wa JF...ndio unapose kama yule 'perfect mwanamke' wakaka wanaomuota...
ofourse kwa wanaume sex ina kipaumbele kuliko vingine vyote,na wewe ndio unapose km biggest provider wa hio kitu....mnh hata km uko 'hunting' sio kwa kujishusha namna hio....:twitch::twitch::twitch::twitch::twitch::twitch::coffee:😛opcorn:
 

Hahaaa haaaa, mchezo wanaume wakilokole wenyewe baadhi wanachakachua.
 

mpe mpe uyo
mpakie ajae
mjaze amiminike
mlalishe ntamfunika
mpe mbu ntamnunulia net
byeeeeeee nawai kaugal mlendakangu mie
 

CPU, watu wawili wakiwa chumbani bwana mh sijui, mi ninachojua hata mtu akiwa mpole vipi, lakini mkute anga hiyo alivyomkatili huezi amini. Kila mtu anapenda sex, ila viwango vya kupenda ndo vinazidiana. Unaweza ukawa unapenda ila mwenzio akawa ana kulet down hakuridhishi, au anavurugu kwenye gem, au ni mkianza tu anamaliza bila kujua mwenziwake yuko stage gani. Hapo sex unaipendaje sasa.
 

Ni kweli ndg yangu wengine wanajifanya hawa-mind sana lakini ukimpandisha uwanjani hataki utoe ile kitu roho inapenda. Mauno anakata kama amepagawa hivi. Inafika wakati unajiuliza kwamba duu hivi huyu ndiye niliyekuwa napigwa danadana vileeeee!!
 

Sina msaada.
 

Nikweli kila jambo likizidi kipimo ni kero.
 
Ukiona hivo kunatatizo hapo sio bure.
 
nguluwe pita mkuki sinaaaa.....
 
Hapo kwenye red honey, hayo mambo usiweke hadharani bana..........mwenzio niko very embarrassed mbele ya washkaji....Siku nyingine ni-PM sawa eeeh?? Leo nakusamehe mwaya.

Ha ha ha ha ha ha ha haha!!!!
 


Umenimalizia maneno kabisaa.

Sexy is not love, care and happiness
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…