Hahahah! LOL! Usiniambie muzee yako akilewa anapoteza netiweki! Wenzio tukiutundika mtungi kichwa kinachaji. Tunapiga kinanda na kulonga ki-blurei kama tumezaliwa London. Yani ni Full Memory!
mkiwa mna tongoza c mna2mia kila njia muonekane mnajali kumbe ndio wengine wanakufanyia kuwa ni wajibu wako.
Unamtumia credo hata hiyo jero utakuta bado anakubip sijui wakoje!
ZD si waharibifu!!! ndo zao wanataka kutafuniwa wameze tu sasa imekula kwenu
ZD, lilyflower FL Pretty mwendo wetu ule ule....lets do our bit!![/QUOTE]
Leo mkesha wapi, mpaka kieleweke...........
ha ha ha kwa hiyo unamtegea akwambie anapendwa na madada gani Lol!! Asee kwa sie wanywaji kwenye hii ishu tunakua ka tupo sober vile!! very sensitive!!hapotezi bwana nawe ahh, lakini anaweza kukuambia ucyoyategemea....lol
Hahahahaha si unajua mkono mtupu haulambwi Nyamayao hata unapo vua lazima uweke chambo kwenye ndoano vingine hupati fish. Lakini sasa nyie mmezidi jamani kutukamua laiti wanawake wote wangekuwa wana mioyo safi kama wewe mbona raha.
hivi nyie? ss hiyo credo ya 500 nitaongea nawe nini? kwanini ucni2mie ya 5 elfu bac ili 2bonge vzr.
unajua ni nini Fidel, mie cwezi kuomba vitu kama credo kabisa, kama nina shida kama binadamu na nadhani unaweza kunisaidia kama mpenzi wangu then nitakujulisha na is up to u kuamua kunisaidia au la, na sio mazoea mana shida nazo sio kwamba nazipata kila cku/wakati....na shida/tatizo lenyewe lieleweke sio vitu mradi vitu tu.....upo hapo?
Upewe credo ya buku 5??? wakati mm naweka za jero jero imezidi sana buku
Kwani hamjui wadada nao hawapendi mtu anayekaba hadi penalt? ulioa ndo mzuri maana utakuwa unabanwa na mkeo ili naye apate muda wa kuwapanga kama watano, yani ni full business!
Hivi buku tano ni bia ngapi vile? NO WAY! Mi nanunua credit yenye thamani pungufu ya thamani ya bia! Full Stop! Iwe najinunulia mimi au mchuchu, Same same!
Hahaha! Na maji makuuuuubwa ya kilimanjaro hapohapo!Hahahaha si ndo hapo eti mchuchu apewe credo ya buku 10 hapo mzee Safari+Ndovu+Serengeti+Tusker
Hahaha! Na maji makuuuuubwa ya kilimanjaro hapohapo!
Wat do you mean?
Na wewe ukiombwa unatoa?
Upewe credo ya buku 5??? wakati mm naweka za jero jero imezidi sana buku
bac ucni2mie kabisa.
Anamaanisha Nguli
Hivi buku tano ni bia ngapi vile? NO WAY! Mi nanunua credit yenye thamani pungufu ya thamani ya bia! Full Stop! Iwe najinunulia mimi au mchuchu, Same same!