Wanawake ni kama Uyoga, leo Mboga kesho Sumu

Wanawake ni kama Uyoga, leo Mboga kesho Sumu

Kuwa makini unaposhauri wanaume, Huu ushauri wapelekee wavulana wenzako
 
FB_IMG_17154162358539536.jpg
 
Nonsense niko na penzi jipya dadaz wasipondewe hii ni amri na sio Ombi
 
Badilisha Heading uandike "wavulana wenzangu "
Kwani wapi nimesema au nimetaja WANAUME..!!Broo Vipi unasapot niniiiii..?Upo kwa hisani ya watu wa marekani au..??Unasapot??
 
Narudia yena Kusema Wanawake ni Kama Uyoga leo ni mboga Kesho ni sumu 🥹🥲😰

Ndugu zangu mimi nalala Ila kuweni makini na mapenzi.
😁😁😁
Mkuu usijisahaulishe kuwa kuna aina za uyoga, uyoga sumu na usio sumu.

Kama kasa tu.
 
Back
Top Bottom