Wanawake ni kama Uyoga, leo Mboga kesho Sumu

Kuwa makini unaposhauri wanaume, Huu ushauri wapelekee wavulana wenzako
 
Nonsense niko na penzi jipya dadaz wasipondewe hii ni amri na sio Ombi
 
Badilisha Heading uandike "wavulana wenzangu "
Kwani wapi nimesema au nimetaja WANAUME..!!Broo Vipi unasapot niniiiii..?Upo kwa hisani ya watu wa marekani au..??Unasapot??
 
Narudia yena Kusema Wanawake ni Kama Uyoga leo ni mboga Kesho ni sumu 🥹🥲😰

Ndugu zangu mimi nalala Ila kuweni makini na mapenzi.
😁😁😁
Mkuu usijisahaulishe kuwa kuna aina za uyoga, uyoga sumu na usio sumu.

Kama kasa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…